22nd
JF-Expert Member
- Aug 1, 2010
- 495
- 137
Onyo: kama haujui maana ya fantasy naomba usichangie mawazo yako!!!!!!!
Nina cousin wangu ambaye yupo kwenye mahusiano kama mwaka mmoja mmoja hivi. they are expecting to get married soon!!!!!!!!
kama mnavyojua mapenzi ambayo sio ya ki Dictator lazima kuwe na vijiutani vya hapa na pale ili kufanya siku ziende na mapenzi kunoga.
katika maongezi yao na utani, ikabidi waambiane fantasy zao, yeye(cousin) alipomuuliza jamaa fantasy yake akamwambia ni 3some, na huyu dogo(cousin)akasema fantasy yake ni(ku kiss a girl(go to bed with girl). aftar that wakacheka na kutaniana, basi siku zikaenda.
ila sasa kama muda wa miezi miwili mitatu jamaa amekuwa haeleweki, hamuamini tena sister wangu na marafiki wa kike( he will be more than happy akisikia yupo na rafiki wa kiume kuliko wa kike). wakigombana kidogo anamuuliza "are u dumping me for her?". He think she is a lesbo which(will never happen(only fantasy) according to herself).amejaribu kumkataza anavyomfikiria lakini haachi na inamuudhi kweli.
yote tisa kumi last week ametoka kumwambia eti amuite her lover girlfriend na yeye(huyo mwanaume) ili kila mtu atimize fantasy yake. yeye ya 3some na my cousin ya kulala na demu. huyu sister akiwa serious jamaa anajidai eti anatania ila after fews days amekumbushia tena.
she is about to dump huyu binadamu and cancell all marriage arrangements. she is so fricking tired na amesema ameshaanza ku lose interest na mchumba ake.
ushaurii jamani-- hapa nilipo tumetoka madukani kuangalia nguo za harusi. ndio ananipa hii habari, nimeshindwa hata kumjibu:thinking::thinking::thinking:
Nina cousin wangu ambaye yupo kwenye mahusiano kama mwaka mmoja mmoja hivi. they are expecting to get married soon!!!!!!!!
kama mnavyojua mapenzi ambayo sio ya ki Dictator lazima kuwe na vijiutani vya hapa na pale ili kufanya siku ziende na mapenzi kunoga.
katika maongezi yao na utani, ikabidi waambiane fantasy zao, yeye(cousin) alipomuuliza jamaa fantasy yake akamwambia ni 3some, na huyu dogo(cousin)akasema fantasy yake ni(ku kiss a girl(go to bed with girl). aftar that wakacheka na kutaniana, basi siku zikaenda.
ila sasa kama muda wa miezi miwili mitatu jamaa amekuwa haeleweki, hamuamini tena sister wangu na marafiki wa kike( he will be more than happy akisikia yupo na rafiki wa kiume kuliko wa kike). wakigombana kidogo anamuuliza "are u dumping me for her?". He think she is a lesbo which(will never happen(only fantasy) according to herself).amejaribu kumkataza anavyomfikiria lakini haachi na inamuudhi kweli.
yote tisa kumi last week ametoka kumwambia eti amuite her lover girlfriend na yeye(huyo mwanaume) ili kila mtu atimize fantasy yake. yeye ya 3some na my cousin ya kulala na demu. huyu sister akiwa serious jamaa anajidai eti anatania ila after fews days amekumbushia tena.
she is about to dump huyu binadamu and cancell all marriage arrangements. she is so fricking tired na amesema ameshaanza ku lose interest na mchumba ake.
ushaurii jamani-- hapa nilipo tumetoka madukani kuangalia nguo za harusi. ndio ananipa hii habari, nimeshindwa hata kumjibu:thinking::thinking::thinking: