zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwani slaa ni Kanali?
Dokta wa kanoni.
Kwani slaa ni Kanali?
Au Kama Yule Dokta kanali wa juzuuDokta wa kanoni.
EPA na kashfa ya Rada vyote hivyo vilifanywa na Watendaji wa serikali ya CDM na wakoloni?
Kama hujui kitu usikizungumzie. Onyesha busara zako.Watanzania wasio waaminifu kama wale walioiuzia CDM mafusu used kwa milion 280.
Mbona CDM Haijawahi kununua mafuso naona umechanganya na maufisadi yenuWatanzania wasio waaminifu kama wale walioiuzia CDM mafusu used kwa milion 280.
Mpiganaji wa sumo?Mpiganaji:
Mpiganaji wa sumo?
Kama hukujirusha udogoni kuna tatizo unayaanza sasa hivi.. Tulikuwa tunapiga kitabu na club tukienda hakuna matatizo tena enzi za Nyerere hakuna mgao wa Umeme..CDM ina historia ya madisko man.
Mkuu wewe ndo mtu mwenye roho na nia njema atakuita masikini wa moyo.Kwani wewe william ni nani ktk nchi yetu?
Naona kila tukio upo, na kutoa taarifa za kina, wamekupa msosi?
Lini ukawa msemaji wa chadema wa mambo ya maafa na starehe? Comedown!!!!
Watanzania wasio waaminifu kama wale walioiuzia CDM mafusu used kwa milion 280.
Kwa hiyo kuenzi tabia yenu mkaamua kumuweka DJ kuwa mwenyekiti wa chama chenu. Interesting.Kama hukujirusha udogoni kuna tatizo unayaanza sasa hivi.. Tulikuwa tunapiga kitabu na club tukienda hakuna matatizo tena enzi za Nyerere hakuna mgao wa Umeme?
Tena yalikuwa ni mafuso mtumba, waliwachapa million 350, halafu unajuwa mfanya biashara aliyewapiga hizo alikuwa nani? halafu wanafurahi na kucheka na wanatetea. Amma kweli ukipenda chongo unaona kengeza.
CHADEMA walimsaidia wakati anaugua au wamengoja kuosha jina kwenye mazishi tu? Nauliza hivi kwa sababu mara nyingi familia hukataa wanasiasa iwapo wanaamini wamewatelekeza in the hour of need...
Wapiganaji wa ccm kwa mitumbo mikubwa!!! Utafikiri upo cliniki
Kwani kila afaye huwa anaugua? Acha kuabisha taaluma bana...
Huyo si alikuwa mwanajeshi?
Binaadam hakuna aliyekamilika. Hata Slaa alidondoka Mwanza tena chooni na mpaka leo mkono umekuwa kilema au hujui hilo? Na yeye alikuwa kafunga kwaresima?
Dokta wa kanoni.
Mpiganaji wa kususa.
Tena yalikuwa ni mafuso mtumba, waliwachapa million 350, halafu unajuwa mfanya biashara aliyewapiga hizo alikuwa nani? halafu wanafurahi na kucheka na wanatetea. Amma kweli ukipenda chongo unaona kengeza.