bulldoza
Senior Member
- Sep 28, 2011
- 133
- 42
Habarini ndugu zangu? naomba mawazo yenu naamini wapo ambao wana uelewa mkubwa kuhusu wapi ntapata fancing wire kwa bundle na bei yake na heka moja inatumia kiasi cha bundle ngapi .nina kashamba kangu (mlandizi - pwani) nahitaji kuzungushia kwaajili ya usalama.
Tafadhali naomba michango kwa wadau.Naamini JF ni kila kitu,asanteni
Tafadhali naomba michango kwa wadau.Naamini JF ni kila kitu,asanteni