Tuacheni tupumuwee!! - Uamusho
wao wana pesa sisi tuna Mungu by Godbless Lema
Mimi ni mwalimu wa History kwa muda mrefu, nisijue kuwa Tanzania ilipatikana kwa kuunganisha Tanganyika, visiwa vya Zanzibar na Pemba (hapo nimesahihisha) By Philipo Mulugo
So far, quote zote ni za watu wa kundi fulani tu..they have one thing on common chama kimoja!
Anyway(back to the topic)
Nikijiuzulu hamtapata waziri mwingine kama mimi-Nchimbi
Serikali yetu imefika hapa ilipo kwa udhaifu wa Rais Kikwete- J.Mnyika!
Kuongezeka kwa magari(foleni) ni ishara ya maendeleo-JK