Famous Business Failures of Successful Entrepreneurs

"The hardest part about being an entrepreneur is that you'll fail ten times for every success." – Adam Horwitz
 
"The biggest failure you can have in life is not trying at all." – Emil Motycka
 
"If you're not doing the things that you love, then your life is not worth living. What are you here for?" – King Sidharth
 
"If you're not doing the things that you love, then your life is not worth living. What are you here for?" – King Sidharth

hii inanihusu sana, nafanya kazi si kwa kupenda kabisa, nimekuwa mtumwa, kazi ni utumwa hata kama unalipwa, naamka asubuhi na mapema si kwa kupenda, narudi nyumbani usiku si kwa kupenda, Maisha yangu yanamtegemea Mwajiri wangu, da inaniuma sana kwa kweli, kama wakina Thomas edson walifeli mara 10,000 na baadae akaja kufanikiwa vipi kuhusu mimi? nimefeli mara ngapi?
Mkuu naenda kuchukua maamuzi magumu kabisa katika historia ya maisha yangu, ni lazima niwe huru bila kujalisha huo uhuru utanilaza njaa, naenda kuchukua maamuzi bila kujali ndugu, jamaa na marafiki watanuonaje, najua hawatanielewa kwa sasa ila ipo siku watanielewa hata kama ni baada ya miaka 20
 
hii inanihusu sana, nafanya kazi si kwa kupenda kabisa, nimekuwa mtumwa, kazi ni utumwa hata kama unalipwa, naamka asubuhi na mapema si kwa kupenda, narudi nyumbani usiku si kwa kupenda, Maisha yangu yanamtegemea Mwajiri wangu, da inaniuma sana kwa kweli, kama wakina Thomas edson walifeli mara 10,000 na baadae akaja kufanikiwa vipi kuhusu mimi? nimefeli mara ngapi?
Mkuu naenda kuchukua maamuzi magumu kabisa katika historia ya maisha yangu, ni lazima niwe huru bila kujalisha huo uhuru utanilaza njaa, naenda kuchukua maamuzi bila kujali ndugu, jamaa na marafiki watanuonaje, najua hawatanielewa kwa sasa ila ipo siku watanielewa hata kama ni baada ya miaka 20

Mkuu Pole sana, ndo hali yenyewe, ila mimi nikutakie mafanikio katika maamuzi yako hao, Mkuu huwa napenda sana kumtumia jamaa mmoja wa kenya sasa ni Marehemu, Mr MUGUKU, Huyu mzee alikuwa ni mwalimu wa Shule ya Msingi na pamoja na kwamba alikuwa akipata mshahara lakini aliishi katika Umasikini mkubwa sana, MUGUKU akaamua Kuchoma Meli Moto, na baada ya kuacha kazi alianza kufuga kuku, na alianza na kuku wasio zidi kumi, na hao kuku pesa alipewa na Baba yake ambaye nayeye kwa sasa ni Marehemu,

Muguku alipitia Vipindi vigumu sana ila mwisho wa siku akaja kuibuka kuwa mmoja kati ya Matajiri watano 5 nchini Kenya, na mtu pekee single aliye kuwa na share nyingi kwenye Banki ya Equit ya Kenya,

Katika Moja ya mahojiona walimfanyia alisema kwamba, namnukuu, "nisingekuwa hapa nilipo leo kama ningeamua kuendelea na kazi ya Ualimu" MUGUKU pamoja na kwamba alifariki 2010 ila familia yake inanejoy matunda ya kazi zake na akiwa ni mmoja wa leading katika biashara ya kuku nchini Kenya

 
Chasha kula 5 mkuu. Hizi quote zime ni inspire sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
sina budi kukugongea like mkuu kumbee me ndo kwanza naanza nimefail mara mbili nlitaka kata tamaa sasa hivi mpaka kieleweke
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom