Inanikumbusha Mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi Sana Mr Daudi
ngoja nijikumbushe kuchora tena hizi picha. jk nyerere primary mpooo!Inanikumbusha Mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi Sana Mr Daudi
Hahahahaha ona iyo suruali ya mR baraka ilipo valiwa......apo si tumboni kabisa
Mi natafuta vile vya Mtu ni UtuMwenye kitabu cha Juma na Roza aniazime
Imenikumbusha enzi zile tunaimba ule wimbo "Are you sleeping x2, brother Musa x2, morning bell is ringing x2 ding dong ding x2"
<br /><img src="http://kitoto.files.wordpress.com/2011/06/hadithi-ya-daudi-na-raza-pic-by-f-macha-e1307496913839.jpg?w=500&h=666" border="0" alt="" />Inanikumbusha Mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi Sana Mr Daudi
Inanikumbusha Mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi Sana Mr Daudi
Huu bado wanaimba kwenye academies. Ila kule kwenye shule za kina Kayumba sina uhakika.
hahaahhaahhah umenikumbasha mbali sana my dear
ile una sema "Elimu ni ufunguo wa maisha Shkaaaamoooo mwaaaalimu"...