asante: Nimekuelewafaida na hasara za family friends zinategemeana na mambo mengi sana,mfano:nini misingi ya ndoa yenu au mahusiano yenu. Misingi hiyo iko imara kiasi gani. Nini mtazamo wenu kuhusu hao family friends. Nini mipaka yenu,i.e.wapi family friends wanahusishwa na wapi hawahusishwi. Kuna wengine akisafiri tu madaraka yote kwa family friend kama vile alikuwa anaishi na mtoto ambaye hataweza kujihudumia. Sasa ikifikia hapo si inaleta balaa!
Kwa wale family friends wenye nia nzuri, no problem but still lazima kuwepo mipaka.
Ni mtazamo wangu tu.