Familia "zisizoolewa" au "oa"

mmh nadhani wazazi walikuwa na maana sana zoz daiz kutafutia watoto wao wachumba maana walitaka waoe au waolewe na koo wanazozifaham vyema,koo zisizo na tatizo la kifafa,uchawi,ugumba/tasa,albino(zoz daiz iliaminika ni laana)vichaa etc
My take: ni vyema kufahamu sana upande wa familia unayooa/kuolewa kabla ya watu kula pilau la harusi.,koo nyengine nuksi kila mume anaeoa baada ya mda flani anakufa,au unaoa/olewa na mtu fulani hakuna cha mafanikio kila ufanyalo nuksi tupu.
MKE/MUME MWEMA ANATOKA KWA BWANA,TUOMBE BILA KUCHOKA NA TUTAPEWA KWA WAKATI WAKE.

Dearest Pearl,

Huyu jamaa naye amekuwa na matatizo ya kiuchumi ghafla! Which makes me concur with you..
 
Mambo ya kuzingatia kabla hujaoa hasa kwa mwanaume
1.Iman ya dini ya mkeo mtarajiwa,,,mcheki kivipi anamuofia mungu wake?kama ana imani madhubuti chukua jiko.
2.Urembo/uzuri,anapaswa awe mrembo kwa mtazamo wako....maana hata ukirudi home umechoka na mihangaiko wyf atakufariji kwa urembo alonao na mashamsham ya mahaba.
3.Nasaba yake,yaani angalia connection ya familia ya mkeo mtarajiwa.....je wana trend ya maradhi???acha....je wakorofi? acha.....je wana tabia za ajabu ajabu????....acha...wanaishije na majirani zao????
4.Angalia kipato......inashauriwa mume uoe mke ambaye ana weza kuku-support ikitokea umefulia au una matatizo ya kiuchumi....ina maana utakaemuoa awe mtu wa kujishughulisha kwa kazi au shughuli yeyote ya halali
hiyo ya tatu hapo kwa maisha ya siku hizi ni ngumu kugundua maana tunakutana kimjini mjini, siku ikienda kwao ni kutoa mahari au kujitambulisha
 
basi habari ndo hiyo,kulikuwa na jamaa mshkaji wangu,jamaa akatangaza ndoa baada ya kuoa tu,haukupita mwezi mke akapiga marufuku marafiki coz jamaa ni mtoaji kinoma,maelewano na ndugu yakapungua jamaa akafukuzwa kazi,mambo yooote haya yametokea within 6 month,so mapenzi yenyewe ya nowdaiz ni pesa so ndoa ikayumba,mwisho wa siku hakuna ndoa tena,but as u knw ndoa ya kanisani ni ngum kuvunjika,miaka 5 sasa imepita jamaa kapata dem mingine kamtafutia kazi na kwakua jamaa mwenyewe anadam ya pesa basi pesa imeanza kurudi kama kawa mahala pake.so kuna watu wengine wanagundu ktk maisha.
Dearest Pearl,

Huyu jamaa naye amekuwa na matatizo ya kiuchumi ghafla! Which makes me concur with you..
 
Kuna ka ukweli ndani yake. Ukitumia logic tu; mimi kama dada zangu wako nyumbani itakuwa ngumu kuvumilia upuuzi wa mume wakati najua nikirudi home hakuna atakaye nishangaa. Ugumu unakuja pale kama other members of family wote wako kwenye ndoa zao; unaachika unaenda wapi? Hence kuna ka pull factor hapo! Na ukawii kuta madada walio single wakawa wanambeza mdogo wao kwa kuwa kifungoni ili hali wao wanajirusha. Aaah. Kazi kweli kweli.

hapa umenikumbusha kwamba kwenye ndoa kuna role model sasa kama kwenye familia ya mke/mme wameoa au kuolewa na kuachika au kuacha kunakuwa hawaoni ajabu kuvunja ndoa kwa sababu yoyote - iwe ndo kubwa au ndogo..
 
Mkigombana kidogo; "Aku babu wewe usinisumbue umeona sina kwetu, ndugu zangu wanantaka sana! Kama umenchoka nambia mi nianze hata leo!"

hapa umenikumbusha kwamba kwenye ndoa kuna role model sasa kama kwenye familia ya mke/mme wameoa au kuolewa na kuachika au kuacha kunakuwa hawaoni ajabu kuvunja ndoa kwa sababu yoyote - iwe ndo kubwa au ndogo..
 
Nimetumia maneno mawili "olewa" na "oa" ili kuweka uwiano wa ki-jinsia.. Swali la msingi ni "Je kuna familia ambazo wazaliwa wake (me/ke) wanapoingia kwenye ndoa, ni lazima (by default) mahusiano hayo ya ndoa hayadumu - wanachwa au wanaachika - baada ya nuda fulani?" Ni kweli,zipo familia za namna hiyo,mara nyingi hapo issue sio malezi tu,it is a spiritual matter!!! Mara nyingi hapo mababu wa mababu/mabibi waliweka maagano na Shetani kuhusu mambo ya ndoa,kila kizaliwa katika ukoo huo kina nafasi nzuri ya kuzongwa na Nguvu hasi mpaka uhusiano uvunjike!!! Ni muhimu kuwa makini katika kuchagua mwenza!!!
 
Mambo ya kuzingatia kabla hujaoa hasa kwa mwanaume 1.Iman ya dini ya mkeo mtarajiwa,,,mcheki kivipi anamuofia mungu wake?kama ana imani madhubuti chukua jiko. 2.Urembo/uzuri,anapaswa awe mrembo kwa mtazamo wako....maana hata ukirudi home umechoka na mihangaiko wyf atakufariji kwa urembo alonao na mashamsham ya mahaba. 3.Nasaba yake,yaani angalia connection ya familia ya mkeo mtarajiwa.....je wana trend ya maradhi???acha....je wakorofi? acha.....je wana tabia za ajabu ajabu????....acha...wanaishije na majirani zao???? 4.Angalia kipato......inashauriwa mume uoe mke ambaye ana weza kuku-support ikitokea umefulia au una matatizo ya kiuchumi....ina maana utakaemuoa awe mtu wa kujishughulisha kwa kazi au shughuli yeyote ya halali
Kaka nakubaliana na wewe 100%,isipokuwa point 4,hatuoi ili tupigwe jeki kiuchumi na mwanamke!! Unapotaka kuoa hali ya kifedha ya mwanamke its irrelevant na zaidi sana kama unaona hiyo ni muhimu kwako basi MJENGEE UWEZO!!!
 
The families which do not produce husbands and wives materials.... just thinking aloud........
 
Umesema kweli....hilo ndilo hunifanya nifikirieeeeeeee
hiyo ya tatu hapo kwa maisha ya siku hizi ni ngumu kugundua maana tunakutana kimjini mjini, siku ikienda kwao ni kutoa mahari au kujitambulisha
 
Iwapo itatokea dharura ya KIUCHUMI.....lakini most men wanaoa baada ya kujiweka fresh,i agree with u TUMAINI
Kaka nakubaliana na wewe 100%,isipokuwa point 4,hatuoi ili tupigwe jeki kiuchumi na mwanamke!! Unapotaka kuoa hali ya kifedha ya mwanamke its irrelevant na zaidi sana kama unaona hiyo ni muhimu kwako basi MJENGEE UWEZO!!!
 
oooops Baba E hapa ni pagumu
Ina maana tunarudi kwenye mambo ya imani za kibinadamu zaidi na si za kimungu..
Tukirudi katika bible mungu alitoa ahadi ya kumfanyia kila mmoja msaidizi wa kufanana nae ..hii ni ahadi .
Katika familia hii naona ni machafuko tu shetani katika kazi yake
 
Nimetumia maneno mawili "olewa" na "oa" ili kuweka uwiano wa ki-jinsia.. Swali la msingi ni "Je kuna familia ambazo wazaliwa wake (me/ke) wanapoingia kwenye ndoa, ni lazima (by default) mahusiano hayo ya ndoa hayadumu - wanachwa au wanaachika - baada ya nuda fulani?" Ni kweli,zipo familia za namna hiyo,mara nyingi hapo issue sio malezi tu,it is a spiritual matter!!! Mara nyingi hapo mababu wa mababu/mabibi waliweka maagano na Shetani kuhusu mambo ya ndoa,kila kizaliwa katika ukoo huo kina nafasi nzuri ya kuzongwa na Nguvu hasi mpaka uhusiano uvunjike!!! Ni muhimu kuwa makini katika kuchagua mwenza!!!

Well said haya mamikasa yapo na yanakua yameota mizizi hayo maagano toka enzi na enzi. Sio kuoa na kuolewa tu hata mafanikio kuna koo nyingine hata mtu asome vipi mafanikio ni zero. Labda mtu ubahatike kuwa na uelewa na kukemea na kujiondoa katika hizo nguvu za maagano zilizofanywa na mababu/bibi zako.
 
Mambo haya yapo kabisa,ila yataondoka kwa maombi na kufunga,mpaka wanafamilia wakubali something wrong in their family!
 
Well said haya mamikasa yapo na yanakua yameota mizizi hayo maagano toka enzi na enzi. Sio kuoa na kuolewa tu hata mafanikio kuna koo nyingine hata mtu asome vipi mafanikio ni zero. Labda mtu ubahatike kuwa na uelewa na kukemea na kujiondoa katika hizo nguvu za maagano zilizofanywa na mababu/bibi zako.

Kwenye kufanikiwa nadhani labda inatokana na kukosa misaada sababu kama nyote hakuna mwenye uwezo inakuwa vigumu kupata msaada (mwenye nacho huongezewa).. Ila mimi nina Imani kwamba usipokata Tamaa au ukiwa na Desire ya kupata kitu "Sky is the Limit" na hakuna kitu utakachoshindwa..., na ukiona watu wengi wenye mafanikio utakuta kwamba wanazo ingredients hizo mbili. Na kama watu wote wanaokuzunguka hawana mafanikio ni vigumu kwako wewe kuona kwamba mafanikio ni possibility.
 
Sometimes our minds are our battlefields.Huyo kaka kama angekutana na mshauri mwingine ambaye angemshauri jinsi ya kuboresha ndoa eg mchungaji au mshauri nasaha nadhani asingeenza ku-analyze familia ya mkewe na kuanza kuwa na wasiwasi.Sometimes matatizo mengine tunayakuza wenyewe.
Mie naona tatizo ni yeye huyo mwanaume hataki kujielewa na kumuelewa mkewe.Haiwezekani mkae miaka 10 na leo hii uanze kusema familia haioleki.
 
Wana MMU

Kuna rafiki yangu amekuwa kwenye ndoa karibia miaka 10 sasa .. Hivi majuzi ndoa yao imeanza kupata migogoro ambayo yeye binafsi hajui chanzo chake nini.. Mwazoni alihisi labda mkewe amepata "kidumu", kwahiyo akafanya uchunguzi lakini hajafanikiwa kuhakiki kama ndivyo au sivyo.


Kadri siku zinavyokwenda pale nyumbani panazidi kuwa pagumu kuishi.. Na hivi sasa ameaanza kuwa anakaa kwenye mabaa muda mrefu sana kuliko ilivyokuwa hapo awali maana ananiambia kuwa ni heri amkute mkewe ameshalala vinginevyo inakuwa na maneno ya kuudhi tu..

Jana tulikuwa baa moja mitaa ya Tegeta - Why Not PUB - tunapata biya na baada ya kuchangamka tukaanza kuongelea mahusiano ya ndoa - tulikuwa wanaume kama 8 hivi hapo kaunta na mmoja kati yetu ni mzee wa miaka karibia 60. Baada ya kutusikiliza kwa muda mrefu alitwambia sentensi moja halafu akaondoka. Hapa ninanukuu kauli ya mzee "..vijana sikilizeni..kuna familia ambazo haziolewi wala hazioi.."

Rafiki yangu alipofanya mahesabu ya haraka haraka upande wa familia ya mke wake aligundua kuwa katika watoto wa kike sita wa familia ya mke wake (mke wake ni nne), wote waliolewa na kuachika na wengine wawili wamezaa njee ya ndoa!

Je, ni kweli kuwa kuwa familia ambazo wazawa wa familia hizo ni lazima mahusiano yao ya ndoa hayawezi kudumu? (genetic/coincident/??)

Naomba kuwasilisha...

Inawezekana ulivyosema kuwa kweli kabisa. Kuna kawaida laani fulani huwa zinafuatilia ukoo fulani. Na mtu asipogundua hilo ni hatari sana kweli anaweza kusababisha akaachika kabisa. Kama kuna kitu kama hicho au kingine ukikigundua si kizuri kinafuatilia ukoo au kizazi ni bora kumkabidhi Yesu maisha na kuikataa hiyo hali kwa jina la Yesu na pia kuwaita watumishi wa Mungu wakuombee.
Ni maoni yangu kulingana na ninavyoamini kwenye imani yangu, kwa mwingine anaweza aone si kweli.
 
Wakati mwingine inakuwa ni laana au apizo la kizazi cha nyuma,na laana huwa inapata mpaka kizazi cha nne.Hii imemtokea rafiki yangu ambaye mume wake anamsumbua sana,mama ya mume aliteswa sana na baba yake mpaka aliamua kuikimbia familia miaka kumi na sita iliyopita,babu wa mume wake nae alimtelekeza bibi yao na kuoa bibi mwingine na baba wa babu yao alikuwa na wake wawili,hatujui mahusiano yalikuwaje kwa wakati huo.Shemej zake rafiki yangu yaan kaka zake mume wa rafiki yangu nao wapo kwenye migogoro mikubwa na wake zao.Kwa kesi hii yawezekana kuna mtu wa kizazi cha nyuma alitamka maneno kama hakika watoto wako hawatakaa kwa waume
 
huyo jamaa mbona mimi namjua fresh tuu na yeye ndo mwenye matatuzo,.

ngoja nimalizie hii chupa ya jackdaniel na kuku wa kienyeji mzima nilyenaye hapa kwenye meza nakuja kuwapa detail za jamaa ilikuwaje mpaka ikawa ivyo. hope jf mtakubal tuu.
 
Back
Top Bottom