Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Familia tatu zimejifungia msikitini mkoani kibaha toka zoezi la sensa lianze wamesema wao ni waislam safi na hawako tayari kuinajisi dini ya mwenyezi mungu.
Amri kutoka kwa mkuu wa wilaya kibaha imetoka ndani ya masaa 24 wawe wameondoka ,wamesema wao wanatetea haki za waislam wako tayari kufa na hawatatoka msikiti, wamekuwa wakipokezana kufuata mahitaji.
Amri kutoka kwa mkuu wa wilaya kibaha imetoka ndani ya masaa 24 wawe wameondoka ,wamesema wao wanatetea haki za waislam wako tayari kufa na hawatatoka msikiti, wamekuwa wakipokezana kufuata mahitaji.