Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Waziri Mwinyi amewataka wa TZ kuzisaidia familia za askari wa jwtz wa kambi ya gongolamboto zilizo athiriwa na mlipuko wa mabomu. Source gazeti mwananchi.
My take : kuna tetesi kuwa wakati wa milipuko ya mabomu ktk kambi ya Gongolamboto familia za askari zilikuwa zimekwisha ondolowe kikosini sikumbili kabla.
My take : kuna tetesi kuwa wakati wa milipuko ya mabomu ktk kambi ya Gongolamboto familia za askari zilikuwa zimekwisha ondolowe kikosini sikumbili kabla.