JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 17
wanaJF
Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu mmoja ananiambia nyumba imeungua
maeneo ya Magomeni Kagera pia inasadikiwa kuwa familia imeteketea na moto
huo. Chanzo cha moto huo inasemekana ni shoti ya umeme.
Kama kuna mwanaJF ambaye yupo eneo la tukio atusaidie kutupa habari
kamili
Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu mmoja ananiambia nyumba imeungua
maeneo ya Magomeni Kagera pia inasadikiwa kuwa familia imeteketea na moto
huo. Chanzo cha moto huo inasemekana ni shoti ya umeme.
Kama kuna mwanaJF ambaye yupo eneo la tukio atusaidie kutupa habari
kamili