Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
We umenyimwa uwezo wa kufikiri vyema!
kila mahali wanapopita chadema lazima damu imwagike.hiyo ni laana kuu
kila mahali wanapopita chadema lazima damu imwagike.hiyo ni laana kuu
Chadema mmestukiwa, mnaua halafu mnajipendekeza kusaidia shughuli za mazishi na kutupia lawama serikalini. Ole wenu siku yaja nayo i-karibu, mtaulizwa habari ya wangwe, rejia n.k. na mtakosa la kujibu.
kila mahali wanapopita chadema lazima damu imwagike.hiyo ni laana kuu
Chadema mmestukiwa, mnaua halafu mnajipendekeza kusaidia shughuli za mazishi na kutupia lawama serikalini. Ole wenu siku yaja nayo i-karibu, mtaulizwa habari ya wangwe, rejia n.k. na mtakosa la kujibu.
nicky83 umenena, mwenye masikio na asikie...!Ndio maana naipenda JF, hii habari ilikuja jana hapa jamvini kama tetesi kuwa Familia imenunuliwa ili waseme hayo waliyosema sema. Sasa tunaweza thibisha kuwa haikuwa tetesi bali ni kweli tupu........Hawa familia wanafanya jambo baya sana, huku ni kumdhalilisha marehemu https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/315166-ccm-wakishirikiana-na-jeshi-la-polisi-tanga-wamewanunua-ndugu-wa-marehemu-ally-4.html
toka pepo magamba weweChadema mmestukiwa, mnaua halafu mnajipendekeza kusaidia shughuli za mazishi na kutupia lawama serikalini. Ole wenu siku yaja nayo i-karibu, mtaulizwa habari ya wangwe, rejia n.k. na mtakosa la kujibu.
ndugu wa marehemu walikataa maiti ya ndugu yao ally kuwekwa hadharani, chadema walitaka kutumia msiba kufanya siasa, ndugu wakawaambia sheria ya dini yetu hairuhusu kuaga maiti kama hamtaki anza mbele. wakaondoka kuelekea iringa kufanya vurugu wapate maiti nyingine.
Aliyerubuniwa na Magamba ni shemeji wa Marehemu Ally. Yeye pia ndo msemaji wa familia. Nimemdharau sana yule mzee. Tena yeye ndo alikuwa anakwamisha zaid CHADEMA wasitoe chochote ili alalame.. Ushahd wa video alipokuwa anapewa rambiramb upo wazi kabisa.
Chadema mmestukiwa, mnaua halafu mnajipendekeza kusaidia shughuli za mazishi na kutupia lawama serikalini. Ole wenu siku yaja nayo i-karibu, mtaulizwa habari ya wangwe, rejia n.k. na mtakosa la kujibu.
Hebu jaribu kupunguza utoto hasa hapo sentensi ya mwisho!