Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
- Thread starter
- #21
Wakulaumiwa ni viongozi wa CCM kwani ndani ya CCM kuna Mafisadi wengi na wengi wao ni Vigogo hatuwezi kuwataja hapa JF wanajijuwa hao wenyewe kinachotakiwa wakati wa uchaguzi ujao CCM iondoke kije chama kipya kitakacho weka usawa wa haki kwa watu wote inshallah Mungu ibariki Tanzania na uwabariki wananchi wa Tanzania Ameen
wazo lako zuri kweli mkubwa!!!!usikate tamaa ...ila litachukua muda
IF U CANT 'M JOIN'M