JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Mkuu pasco.
Nimekutafuta sana toka jana kwenye thread hapa jf za maandamano na kupigwa makanjanja wenzako sijakuona ila imekuja thread ya laigwana umekimbilia fasta je kashfa ya lowasa na kupigwa waandishi wenzako ipi inakuadhiri zaidi?? Nilitegemea ungekuwa bega kwa bega na waandishi wenzako ila kimya hata comment hutupii kwenye thread zote ila hii ya mzee wa bahasha tena kubwa ya a4 umechepuka fasta.
Waandishi mnamuona mwenzenu pasco kawatosa huko yuko kwenye thread ya lowasa??
By the way nini msimamo wako kuhusu makanjanja wenzako na kipigo cha polisi?
Otherwise good morning
Nimekutafuta sana toka jana kwenye thread hapa jf za maandamano na kupigwa makanjanja wenzako sijakuona ila imekuja thread ya laigwana umekimbilia fasta je kashfa ya lowasa na kupigwa waandishi wenzako ipi inakuadhiri zaidi?? Nilitegemea ungekuwa bega kwa bega na waandishi wenzako ila kimya hata comment hutupii kwenye thread zote ila hii ya mzee wa bahasha tena kubwa ya a4 umechepuka fasta.
Waandishi mnamuona mwenzenu pasco kawatosa huko yuko kwenye thread ya lowasa??
By the way nini msimamo wako kuhusu makanjanja wenzako na kipigo cha polisi?
Otherwise good morning
mkuu fumbo, asante kwa hii, naunga mkono hoja, ila ukawa, inakabiliwa na matatizo makuu mawili.
- its only a "marriage of convenience", wameungana kwa conveniences za katiba, conveniences hizi zikiisha, ni kila mtu na lwake!.
- hata wakiamua rasmi sasa washirikiane kiukweli kusimamisha mgombea mmoja, its still very unfortunately hawana mtu to march mgombea wa ccm, endapo ccm itaamua kumsimamisha yule "the one and only!" best they have!. Kama ile kutangaza tuu "naianza safari!", kuta zote za siasa za 2015 zimetetemeka!, atakapoianza rasmi, who will dare stand on his way?!. By now we all know the best from ccm, haws ukawa wan a nani hata wa kufikirika tuu na uwezo wa kuchagulika ili kuanzia sasa awe groomed?!. They have none!, no one!.
thanks.
Pasco