kandukamo1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 1,058
- 688
Ni dalili tu ya jinsi vyombo vyetu sisi wenyewe vilivyo dhaifu.. think about it.
Udhaifu ni asili yetu Waafrika, kumbuka suala LA ndege ya rais enzi za mkapa......maumivu ya udhaifu wetu ulitatuliwa Na wakubwa kwa kutuonea huruma juu ya udalali tuliopigwa na WADHAIFU WENYE MAMLAKA hadi walichelea kusema hata tukila NYASI ndege lazma inunuliwe, pamoja Na dharau hiyo tuliendelea kunyongea na UDHAIFU WETU.