Familia ya Kikwete yajipendelea au wanaogopa kujitokeza kupambana?

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
SAM_2173.JPG
 
Hawa jamaa wako selfish halafu ulimbukeni unawasumbua sana. Sio kwamba wana uwezo wa uongozi kihivyo ila ni basi tu. Kuliwahi kutokea tetesi eti wanasema kutesa kwa zamu na sasa ni zamu yao kutesa. Bahati nzuri bado miaka mitatu tu ya kutesa, baada yahapo watatafuta kwa kwenda. Hizo passport mbili wazitafute mapema kwani baada ya 2015 hawna lao TZ. Si kutesa kwa zamu bwana.
 
Hawa jamaa wako selfish halafu ulimbukeni unawasumbua sana. Sio kwamba wana uwezo wa uongozi kihivyo ila ni basi tu. Kuliwahi kutokea tetesi eti wanasema kutesa kwa zamu na sasa ni zamu yao kutesa. Bahati nzuri bado miaka mitatu tu ya kutesa, baada yahapo watatafuta kwa kwenda. Hizo passport mbili wazitafute mapema kwani baada ya 2015 hawna lao TZ. Si kutesa kwa zamu bwana.

Jaribu kumeza mengine, umeanika mno mdau.
 
Tatizo lao ni kwamba licha ya kuwa waroho wa madaraka ni vipofu wasiofikiria ya kesho. Laiti wangejifunza toka kwa Sumaye na jinsi anavyoaibika na kupondeka!

Hakuna rais atakayeumia baada ya kuachia ngazi kama huyu Kikwete. Anaishi kama kijana asiyejue kuna kesho maskini. Ukiangalia mke wake ndiyo usiseme. Huyo mwanae Riz sijui alisomea sheria ipi? Maana anashindwa kutumia akili ya kawaida achana na usomi wa kisheria.

Siku arobaini yao ikifika watasaidiana kutupa mtondoo gerezani.
 
Zamu yao,atahakikisha rais mstaafu na wajukuu zake wote wanalindwa na sheria ya kustaafu hadi kizazi chote kiishe!la sivyo!magazeti yatajaa skendo zao tu subiri 2015 ifike atoke!
 
Hawa jamaa wako selfish halafu ulimbukeni unawasumbua sana. Sio kwamba wana uwezo wa uongozi kihivyo ila ni basi tu. Kuliwahi kutokea tetesi eti wanasema kutesa kwa zamu na sasa ni zamu yao kutesa. Bahati nzuri bado miaka mitatu tu ya kutesa, baada yahapo watatafuta kwa kwenda. Hizo passport mbili wazitafute mapema kwani baada ya 2015 hawna lao TZ. Si kutesa kwa zamu bwana.

Hao ndugu za kikwete wanahaki kugombea uongozi chama chochote , LAKINI KWENDA CCM ni utoto wa kisiasa kupenda KUTAFUNULIWA NA VYA BURE!! hao ndugu zake JK wanatamaa mpaka wanataka wafanikiwe UFISADI IN MASSIVE AMOUNT kama walivyo ona mafanikio ya kuiba aliyoyapata baba yao JK!! Shame on them to all!!!
 
Tatizo lao ni kwamba licha ya kuwa waroho wa madaraka ni vipofu wasiofikiria ya kesho. Laiti wangejifunza toka kwa Sumaye na jinsi anavyoaibika na kupondeka!

Hakuna rais atakayeumia baada ya kuachia ngazi kama huyu Kikwete. Anaishi kama kijana asiyejue kuna kesho maskini. Ukiangalia mke wake ndiyo usiseme. Huyo mwanae Riz sijui alisomea sheria ipi? Maana anashindwa kutumia akili ya kawaida achana na usomi wa kisheria.

Siku arobaini yao ikifika watasaidiana kutupa mtondoo gerezani.

Hakuna mtanzania anayeisubiri kwa hamu hiyo siku ya hawa jamaa kubeba mtondoo gerezani kama mimi...

Hivi ni Tanzania gani tunayoongelea ambayo eti mtu kama Salma Kikwete kuwa mbunge, au waziri,,, what a joke...
 
Jaribu kumeza mengine, umeanika mno mdau.
Hapana, wasije kusema hatukuwaonya, Mwinyi alikuwa Rais lakini alitandikwa kibao na kijana tu pale Diamond Jubilee kwa sababu Mwinyi hayuko kwenye Power tena, na wasisahau Gaddafi alivyosokomezwa vijiti vya makalioni na wale vijana waliomkamata.

Kuna kitu huyu jamaa hataki kukubaliana nacho kwamba ukiwa out of Power na biashara yako imekwisha, asidhani yeye alivyotuamrisha tumuache Mzee Mkapa apumzike basi anadhani na Serikali ya Chadema itasema tumuache JK apumzike.

Kila Mzalendo anachopaswa kukifanya sasa hivi ni kuorodhesha mali za hawa jamaa wanazomiliki ili siku tukimuapisha Rais asiyetokana na CCM hizo mali zote umma utajigawia.
 
hivi wameteuliwa au wamechaguliwa?
Mbona wabongo tuna roho za korosho sana?
Nani aliyemnyima mtu nafasi ya kugombea?
Wamechukua fom, wakapitia taratibu zote za chama na mwishowe wakapita.
Mbona bush na babake wote walikuwa marais wa marekani na huwezi kusikia malalamiko?
Ni demokrasia, unagombea unachaguliwa na sio kuteuliwa.
Chuki zitawauwa ndugu zangu na hayo mabaya mnayowaombea hayato wapata kwa uwezo wa MWENYEZI MUNGU.
 
Back
Top Bottom