NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Mkuu umenena yote niliyotaka kunena. Sijui unatumia soda gani?Huu ni ushahidi wa uroho, upofu na kutoona mbali. Kama Nyerere angekuwa kipofu hivi leo tungekuwa tunaongelea chama cha Nyerere na siyo CCM. Hata hivyo, kama umma utatambua hatari ya hili, hakuna haja ya kujiumiza vichwa badala ya kuitimua CCM ili tuone huko kujirundikia madaraka kama kutawafaa hawa wanaoyatumia kifisadi na kifamilia.