Copy to my one and only.................... Ritz karibu sana huku yaani full of tabasamu, keyboard unaigonga tu bila kuumiza kichwa uandike nini. na wananchi tunapendana sana
Unataka nini wewe kijana
Yaani nilikuwa nimekununia inabidi tu nicheke. Yameisha ila inabidi uninunulie togwa lita moja tupinge urafiki upya.
Hivi wifey.... ushamtabulisha mgeni Ritz familia yetu?
Ushamkaribisha chai na kiporo cha ubwabwa na maharage?
Kama bado hebu fanya hima kwa niaba ya familia.
nimemuandalia maji tummassage miguu kwanza ndio aingie ndani! lol! hubby nimekumiss sana!
Kabla sijatoa kauli kwanza niambie yaliyojiri kwenye makutano yako na @C6. Huyu kijana sina imani nae kiviiiiiile.
Muda wa jukwaa hili ni saa ngapi kwani......sidhani kama kukesha inaondoa stress mkuu......
Na inakuaje hampigwi bani kwa kuingia humu muda usio muafaka......anyway, hii bluu mande imekuja miksa....naona hadi purple ndani.....wapi paya au ashua ya mbuzi?