Eti kwa kuwa wewe umekua na umeshajitambua, unadhani kuna faida muhimu ya kulelewa au kulea jamii katika familia ya kizamani baba mama watoto na jamaa?
nikimaanisha kuacha kulea wazee wetu
kuzaa na kulea watoto bila mke au mume?
hapa nazungumzia kufanya hivyo kwa maamuzi ya hiari, na sio kwa kulazimishwa na maisha kama kifo, umasikini nk
nikimaanisha kuacha kulea wazee wetu
kuzaa na kulea watoto bila mke au mume?
hapa nazungumzia kufanya hivyo kwa maamuzi ya hiari, na sio kwa kulazimishwa na maisha kama kifo, umasikini nk