Mkuu Bigirita, kwa mfumo uliopo ili ugombee uongozi ni lazima udhaminiwe na chama, ila wanaokuchagua sio chama ni watu, ukishachaguliwa unageuka mtumishi wa watu na sio chama, hivyo Dr. Kigwa ana watu, CCM inachama, 2015 utashuhudia ni nani zaidi kati ya watu na chama.
Ndani ya katiba mpya hatuhitaji chama ili kugombea na huku mtatushuhudia watu kama sisi tikiingia ngomani kucheza hili game la politics.
Pasco,
Shairi zuri ila umesahau ubeti mmoja Kigwa watu hana CCM ndiyo iliyomuweka hapo alipo; 2015 huyu hata akigombea na mwehu aliyetoka Mirambo hapiti; katiba umeshaipitisha? Namshauri tu asitekeleze fani yake siku mojamoja na apite hospitali ya wilaya kutibu watu; yeye anajifanya ni mwanasiasa mkweli amesahau siasa za siku hizi ni mix tu 25% ukweli 75% porojo inabidi ajirudi sana vinginevyo ndio kwisha. Kwa ufupi safari ndio imeanza si umesikia hadithi ya vitumbua? Nyimbo ya kutunga mahsusi kwa ajili yake
Chama
Gongo la mboto DSM