Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Hawa wadada wote wana public figure inayopendeza. Mimi naona Flaviana Matata amemzidi Jokate kwa vitu vingi. E.g. Exposure, muonekano katika jamii even pesa. Jokate amemzidi Flaviana Elimu, urembo kiasi labda na kashfa za "Diamond na Wema."
Je wewe kwa maoni yako unaonaje?
Je wewe kwa maoni yako unaonaje?