Falsafa za Kambarage

Falsafa iliyopitwa na wakati. 5% ya waMarekani ni wakulima na wanalisha nchi zima na kuuza nje. 95% ya watanzania ni wakulima na bado wanatembeza mabakuli.

Mkuu naona unaota wewe, unaufahamu umuhimu wa ardhi wewe? Tuchukulie mfano mdogo wa ardhi yenye madini iliyomilikishwa kwa wageni katika jina la uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja, Tanzania imepata nini zaidi ya kuitwa nchi ya tatu barani Afrika kwa uzalishaji wa madini wakati pesa ikiishia mifukoni mwa wawekezaji na wenyeji wakifukiwa mgodini wakiwa hai huku wengine wakifukuzwa kama wakimbizi kupisha ''uwekezaji''?
 
@ Jasusi

Tatizo ni ardhi kutopewa wazalendo wakulima badala yake wakachukua serikali (wakati wa nyerere)..kosa kwanza

Serikali ya sasa (baada ya nyerere) walitakiwa wawape wakulima wazalendo badala yake wanawapa wawekezaji wahuni ..(kosa la pili)..

Bado tunaendelea kufanya makosa sijui hadi lini?
Topical,'
Ukisoma hiyo article ya Mbarali inapingana na kauli zako. Ardhi amepewa "mwekezaji" ambaye si raia na raia waliokuwa wanalima wamezidi kusota kwenye ufukara. That is what we are talking about kuhusu hizi sera mufilisi za CCM-Kikwete.
 
Topical,'
Ukisoma hiyo article ya Mbarali inapingana na kauli zako. Ardhi amepewa "mwekezaji" ambaye si raia na raia waliokuwa wanalima wamezidi kusota kwenye ufukara. That is what we are talking about kuhusu hizi sera mufilisi za CCM-Kikwete.

Hao wanaoitwa wawekezaji watakuwa wametoa mlungula kwa watendaji (ambao bahati mbaya sana mkuu ni kaka/dada zako wanaotoka st. maria)...
 
Hao wanaoitwa wawekezaji watakuwa wametoa mlungula kwa watendaji (ambao bahati mbaya sana mkuu ni kaka/dada zako wanaotoka st. maria)...
Una hakika na hilo? Siyo madiwani ambao wamepewa elimu ya madrassa? Lakini point muhimu ni kwamba enzi za Julius kama Mtanzania ukitaka ardhi ya kilimo ulipewa bure. Sasa hivi nahitaji eka 20 za kulima mahindi nimepewa bei imebidi nirudi kujipanga upya.
 
Una hakika na hilo? Siyo madiwani ambao wamepewa elimu ya madrassa? Lakini point muhimu ni kwamba enzi za Julius kama Mtanzania ukitaka ardhi ya kilimo ulipewa bure. Sasa hivi nahitaji eka 20 za kulima mahindi nimepewa bei imebidi nirudi kujipanga upya.

100% nina uhakika 87 vs 13 ya wataalam wetu wametoka st. maria, kama wakiamua kuacha ufisadi wakaamua kusimamia haki nchi itapata neema lakini wamekalia kula mlungula tu na "proposals" za kunyonya pesa za umma..madiwani si wataalamu halafu wengi wao pia st. maria..nafikiri turudi kwenye basics tuwafundishe watu uzalendo na mapenzi kwa watu na si fedha..wanaweza wakaanza huko kwa st. maria ambao ndio wanaotoa human resources wengi serikali (unfortunelty without positive impact)..

Nyerere alinyang'anya wazalendo wakulima mashamba yao akawapa viongozi wa chama na serikali..mwishowe njaa tupu..

Uchumi na siasa vitu viwili tofauti mkuu
 
100% nina uhakika 87 vs 13 ya wataalam wetu wametoka st. maria, kama wakiamua kuacha ufisadi wakaamua kusimamia haki nchi itapata neema lakini wamekalia kula mlungula tu na "proposals" za kunyonya pesa za umma..madiwani si wataalamu halafu wengi wao pia st. maria..nafikiri turudi kwenye basics tuwafundishe watu uzalendo na mapenzi kwa watu na si fedha..wanaweza wakaanza huko kwa st. maria ambao ndio wanaotoa human resources wengi serikali (unfortunelty without positive impact)..

Nyerere alinyang'anya wazalendo wakulima mashamba yao akawapa viongozi wa chama na serikali..mwishowe njaa tupu..

Uchumi na siasa vitu viwili tofauti mkuu
Topical,
Hii ya Nyerere kuwanyang'anya wazalendo wakulima mashamba na kuwapa viongozi wa chama si kweli. Nenda kule Moshi Nyerere aliwanyang'anya wazungu walowezi mashamba na kuwapa raia wa kawaida na mpaka leo wanamkumbuka. Hii ya kuwapa viongozi wa chama imetokea Zimbabwe na si Tanzania. Prove me wrong.
 
Topical,
Hii ya Nyerere kuwanyang'anya wazalendo wakulima mashamba na kuwapa viongozi wa chama si kweli. Nenda kule Moshi Nyerere aliwanyang'anya wazungu walowezi mashamba na kuwapa raia wa kawaida na mpaka leo wanamkumbuka. Hii ya kuwapa viongozi wa chama imetokea Zimbabwe na si Tanzania. Prove me wrong.

Mkuu nenda Manyara (babati in particular) kuna wananchi wazalendo walikuwa na zaidi ya ekari 100 zilinyang'anywa wakajenga kijiji juu ya shamba, pili skari zingine wakaziita shamba la kijiji..nenda (enda kiso) tumeendesha kesi kama hizo manyara, dodoma na mikoa mingi Tanzania, hadi mwinyi alipowagawawia wananchi hao ardhi nyingine (pori) kwa maelewano ya kufuta kesi.. (Tafuta kesi ya Akonaay et. al vs URT)...

Nyerere na viongozi wake waliwanyang'anya wananchi ardhi wakawapa ekari tano tano irrespective ulikuwa umeweza kulima na kung'oa ekari ngapi..ili tuwe maskini wote na sawa??? (nonsense)

Viongozi wa sasa wanaendekeza mlungula kuwauzia mashamba waliyonyg'anywa wazalendo na kupewa mashirika ya umma, wanaonunu ni wale wale wenye hamu na hulka ya uchapaji kazi..hiyo itabaki hivyo hivyo..

Watendaji wetu waache mlungulu (proposals) wawasaidie wazalendo na siyo wageni
 
Nani alitegemea kama Mkapa na CCM siku moja wangemrudi Mwalimu Nyerere baada ya 40 ya utumishi uliotukuka kwa masikini wa Tanzania alivyotufanya muda wote tujihisi wafalme hata kama hauna kitu mfukoni???


Mwlm amewaacha MANYAMERA FLU!
 
Mkuu naona unaota wewe, unaufahamu umuhimu wa ardhi wewe? Tuchukulie mfano mdogo wa ardhi yenye madini iliyomilikishwa kwa wageni katika jina la uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja, Tanzania imepata nini zaidi ya kuitwa nchi ya tatu barani Afrika kwa uzalishaji wa madini wakati pesa ikiishia mifukoni mwa wawekezaji na wenyeji wakifukiwa mgodini wakiwa hai huku wengine wakifukuzwa kama wakimbizi kupisha ''uwekezaji''?

Ardhi inayotumika kwa madini ni chini ya 3% ya ardhi ya Tanzania. Na hii ni tathmini ya kupendelea. Hivyo kuingiza uwekezaji wa madini katika mambo ya ardhi ni kuchanganya madawa.
 
Topical,
Hii ya Nyerere kuwanyang'anya wazalendo wakulima mashamba na kuwapa viongozi wa chama si kweli. Nenda kule Moshi Nyerere aliwanyang'anya wazungu walowezi mashamba na kuwapa raia wa kawaida na mpaka leo wanamkumbuka. Hii ya kuwapa viongozi wa chama imetokea Zimbabwe na si Tanzania. Prove me wrong.

Jasusi,

Nyerere alikuwa na sera mbovu za ardhi. Kwakwe ardhi ilikuwa mali ya umma na watanzania hawakuwa na haki ya kumiliko ardhi mali zao.

Kuhusiana na mashamba ya Moshi, mpaka ulete ushahidi wa maandishi. Wakati tunapata uhuru mikoa ya Kilimanjaro na Kagera tayari ilikuwa imeendelea kwa watu kumiliki ardhi.

Na mashamba aliyotaifisha yalikwenda kwenye mamlaka za mazao ambayo yote ni hasara tupu.
 
Jasusi,

Nyerere alikuwa na sera mbovu za ardhi. Kwakwe ardhi ilikuwa mali ya umma na watanzania hawakuwa na haki ya kumiliko ardhi mali zao.

Kuhusiana na mashamba ya Moshi, mpaka ulete ushahidi wa maandishi. Wakati tunapata uhuru mikoa ya Kilimanjaro na Kagera tayari ilikuwa imeendelea kwa watu kumiliki ardhi.

Na mashamba aliyotaifisha yalikwenda kwenye mamlaka za mazao ambayo yote ni hasara tupu.

Zakumi,
Kuhusu sera mbovu za ardhi you may have a point. Lakini enzi za Nyerere ukitaka ardhi ya kilimo ulikuwa unapewa bure.
Sasa hivi kama ilivyotokea Mbarali hata mashamba yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali badala ya kuwagawia wananchi ambao walikuwa wanayatumia amegawiwa "mwekezaji" tena kutoka nje ya nchi.
Na tukizungumzia mashamba yaliyotaifishwa kwenda kwenye mamlaka ya mazao the solution was not to give them to a so called investor but the people should have been the first option. In other word, kama sera za Nyerere zilikuwa mbaya hizi za akina Kikwete ndizo worst. Narudia tena, hakuna nchi iliyoendelea kwenye kilimo kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje.
That is a fact. Kuhusu mashamba makubwa najua kuna mashamba yalikuwa yanamilikiwa na wazungu Moshi. Nyerere aliyachukua na kuwagawia wananchi. Sina ushahidi hapa ambao naweza kutundika hapa kukuhakikishia lakini niliambiwa nilipokuwa Moshi
 
Zakumi,
Kuhusu sera mbovu za ardhi you may have a point. Lakini enzi za Nyerere ukitaka ardhi ya kilimo ulikuwa unapewa bure.
Sasa hivi kama ilivyotokea Mbarali hata mashamba yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali badala ya kuwagawia wananchi ambao walikuwa wanayatumia amegawiwa "mwekezaji" tena kutoka nje ya nchi.
Na tukizungumzia mashamba yaliyotaifishwa kwenda kwenye mamlaka ya mazao the solution was not to give them to a so called investor but the people should have been the first option. In other word, kama sera za Nyerere zilikuwa mbaya hizi za akina Kikwete ndizo worst. Narudia tena, hakuna nchi iliyoendelea kwenye kilimo kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje.
That is a fact. Kuhusu mashamba makubwa najua kuna mashamba yalikuwa yanamilikiwa na wazungu Moshi. Nyerere aliyachukua na kuwagawia wananchi. Sina ushahidi hapa ambao naweza kutundika hapa kukuhakikishia lakini niliambiwa nilipokuwa Moshi

Jasusi,

Kama unayo source ya uhakika kuhusiana na Moshi naomba uweke wazi, hili tupate elimu na ukweli, hili siku uzalendo ukinirudia niweze kusema na nikiwa na facts.

Vilevile kama una dondoo yoyote kuhusiana na utaifishaji mashamba naomba uiweke hapa kwa faida yangu. Katika kutaifisha kuna watu mashamba yao yalinunuliwa. Hivyo watanzania walimiliki mashamba hayo.

Na kuhusiana na article uliyotoa juu, nimeoshuhudia watanzania kupoteza mashamba. Baadhi ya mashamba ya mkonge mkoani Morogoro yalishageuka mapori, Mwinyi alitoa amri watu wayatumie. Watu waliyasafisha na kuyafanya yao. Lakini kwa sasa hivi wamenyang'anywa na kupewa wawekezaji.

Kifalsafa I don't care who owns the land. Lakini lazima thamani ya nguvu ya binadamu ithaminiwe.
 
Hivi tunatakiwa tuwe maskini wote ndio usawa?

Hivi kuwa na shamba lako ambalo unaweza kung'oa magogo na kulima mazao ya chakula na biashara ..kuna ubaya gani?

Nyerere alitaifisha mashamba ya wazalendo wakaweka vijiji vya ujamaa juu ya mashamba ya watu kilichofuata njaa, na umaskini..

watu wengine lazima watakuwa wakulima wengine wafanyakazi..

Na hii land grabbing inayoendelea atakayeathirika ni nani? Kama Nyerere hakunyang'anya ardhi unafikiri nani angekuwa muathirika wa watu wachache kumiliki ardhi kwa kiasi kikubwa? Jamani twende karibu tu hapo Kenya tuone jinsi ambavyo ardhi inaweza kutofautisha mambo kwa kiasi kikubwa!
Badala ya kuangalia best way ya kumanage affairs zetu tunakuwa kama wote hatuna akili tunang'ang'ania kwanini Nyerere alifanya ardhi mali ya serikali. Kwa bahati mbaya victim wa matatizo ya kutofikiri ni mtu mwenyewe
 
Jasusi,

Nyerere alikuwa na sera mbovu za ardhi. Kwakwe ardhi ilikuwa mali ya umma na watanzania hawakuwa na haki ya kumiliko ardhi mali zao.
Mimi sioni tatizo kwa ardhi kumilikiwa na umma endapo wananchi wataruhusiwa kuitumia. Sasa wewe ulitaka wenye nguvu na wageni wagawane kama walivyofanya wakikuyu? Wewe huko ulipo ulishasikia wakenya wakijidai wamenunua mashamba na wanarudi kwao kujenga? Makampuni yalipouzwa kiholela unafikiri Tanzania kama nchi ilifaidika? kumbuka kipindi cha mwalimu wengi walikuwa hawana upeo kwahiyo tungerubumiwa na wageni pamoja na wajanja wachache.

Nyerere kama mwasisi wa Taifa changa ilibidi awape elimu wananchi wake kwanza ili watakapo jitambua waweze kuweka sheria ambazo zitawasaidia hapo baadae ndiyo maana aliwekeza kwenye elimu na kuzuia mambo ya uchimbaji madini na kuhakikiasha ardhi inamilikiwa na umma. Hii yote ilikuwa ni mikakati ya kulinda mali asili wakati taifa linakua

Na mashamba aliyotaifisha yalikwenda kwenye mamlaka za mazao ambayo yote ni hasara tupu.
Hapa lilikuwa ni tatizo la utekelezaji tuu lakini siyo sera mbovu
 
Wabongo bana, tunaongea tuu, maneno maneno ka chiriku, utendaji zero. ndo ya baba wa taifa,alikosea wapi? mpaka anang'atuka alikuwa ameshashindwa kabisa kiuchumi, ni kuongea tuu ando akabakiza na ccm yake na muungano wake basi, kuondoa umaskini hakuna kitu, sifuri kabisa. Alikosea wapi huyu, aliowaandaa walimgeuka, ni IMF na WB au ni sera za ujamaa ndo zilimponza. Maana naona kila alichokisema naona kinasifiwa kweli.
 
Mimi sioni tatizo kwa ardhi kumilikiwa na umma endapo wananchi wataruhusiwa kuitumia. Sasa wewe ulitaka wenye nguvu na wageni wagawane kama walivyofanya wakikuyu? Wewe huko ulipo ulishasikia wakenya wakijidai wamenunua mashamba na wanarudi kwao kujenga? Makampuni yalipouzwa kiholela unafikiri Tanzania kama nchi ilifaidika? kumbuka kipindi cha mwalimu wengi walikuwa hawana upeo kwahiyo tungerubumiwa na wageni pamoja na wajanja wachache.

Nyerere kama mwasisi wa Taifa changa ilibidi awape elimu wananchi wake kwanza ili watakapo jitambua waweze kuweka sheria ambazo zitawasaidia hapo baadae ndiyo maana aliwekeza kwenye elimu na kuzuia mambo ya uchimbaji madini na kuhakikiasha ardhi inamilikiwa na umma. Hii yote ilikuwa ni mikakati ya kulinda mali asili wakati taifa linakua


Hapa lilikuwa ni tatizo la utekelezaji tuu lakini siyo sera mbovu


Chamoto,

Kwa hiyo Nyerere na serikali walikuwa gate-keepers wa watanzania wenye upeo mdogo wasirubuniwe?
 
Chamoto,

Kwa hiyo Nyerere na serikali walikuwa gate-keepers wa watanzania wenye upeo mdogo wasirubuniwe?
Siyo kuwa gate keeper lakini kingozi wa nchi anatakiwa kulinda maslahi ya nchi ikiwemo raia sio tu mtu anatoka Iowa anakuja kujichukulia ardhi.

Kwani wewe unafikiri kwanini Marekani huwa wanalazimisha wenyeshea nyingi kwenye kampuni kubwa lazima wawe raia (uliza kilichomfanya Murdock kuchukua uraia wa Marekani miaka ya themanini).Hizi zote ni sera za kulinda wazawa na kuwabana wawekezaji uchwara kwahiyo mwalimu hakukosea kabisa.
 
Back
Top Bottom