I like the guy, jamaa alikuwa na vision ya hali ya juu hayo aliyasema more than 50 yrs ago na yanatokea sasa.
Waberoya,My tears!
Nyerere you were so great!!
Waberoya,
Tusiishie kulia tu. Let us do something about it. Nyerere was great, he is gone but his ideas needs someone to carry on the torch.
Falsafa iliyopitwa na wakati. 5% ya waMarekani ni wakulima na wanalisha nchi zima na kuuza nje. 95% ya watanzania ni wakulima na bado wanatembeza mabakuli.
Waberoya,
Tusiishie kulia tu. Let us do something about it. Nyerere was great, he is gone but his ideas needs someone to carry on the torch.
naona hamjaelewana na Nyerere