Hii nimeitoa kwa vijana kule Facebook nanukuu
FALSAFA YA MWANAMKE
- Mwanaume mkamilifu zaidi duniani ni BABA YAKE
- Mwanaume anayeonewa na kunyanyasika zaidi duniani ni KAKA YAKE
- Mwanaume mzuri na mtanashati zaidi duniani ni MTOTO WAKE
- Mwanaume mwenye bahati na mwenye furaha zaidI duniani ni MUME WA DADA YAKE
- Mwanaume mwenye shukrani zaidi duniani ni MKWE WAKE
- Na mwanaume mkorofi, mbishi, mbinafsi, mwenye roho mbaya, asiyejali na mwenye tabia chafu kuliko wote duniani ni MUME WAKE.
Kuna ukweli hapa? Ngoja nijizuie kwanza kutoa maoni yangu
FALSAFA YA MWANAMKE
- Mwanaume mkamilifu zaidi duniani ni BABA YAKE
- Mwanaume anayeonewa na kunyanyasika zaidi duniani ni KAKA YAKE
- Mwanaume mzuri na mtanashati zaidi duniani ni MTOTO WAKE
- Mwanaume mwenye bahati na mwenye furaha zaidI duniani ni MUME WA DADA YAKE
- Mwanaume mwenye shukrani zaidi duniani ni MKWE WAKE
- Na mwanaume mkorofi, mbishi, mbinafsi, mwenye roho mbaya, asiyejali na mwenye tabia chafu kuliko wote duniani ni MUME WAKE.
Kuna ukweli hapa? Ngoja nijizuie kwanza kutoa maoni yangu