Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Kama baadhi mlivyosema wakati wa Nyerere, CCM ilikuwa na falsafa ya ujamaa na kujitegemea. Kulikuwa na mipango iliyotokana na falsafa kama maadili ya uongozi, mapambano dhidi ya rushwa, umoja wa Africa nk. Mwinyi aliua ideolody na hapo ndipo CCM ilivurugwa hadi leo hawana ideology. Wana CCM tuambieni ideology yenu leo ni ipi?
 
Falsafa ya CCM, maana hata ukilitaja jina hili kwa kirefu utapata majibu.

CCM kwa kirefu ni Chama Cha Mapinduzi

Kwa hiyo mkuu Nduka, unataka kusema falsafa ya CCM ni mapinduzi?!? Kama ndiyo, ni mapinduzi yepi?
 
CCM kwa kirefu ni Chama Cha Mapinduzi

Kwa hiyo mkuu Nduka, unataka kusema falsafa ya CCM ni mapinduzi?!? Kama ndiyo, ni mapinduzi yepi?

Falsa ya CCM imejengeka katika imani ya Binadamu wote ni sawa, kuanzia hapo ndipo linakuja suala la ujamaa, sasa suala la kama CCm inaonekanaje kwa miwani yako hilo ni lako binafsi lakini kuna watu wengi bado wanaamini katika CCM na utu, japo kwenye kundi la mamba kenge hawakosi.
 
Falsafa ya CCM imejengeka katika imani ya Binadamu wote ni sawa, kuanzia hapo ndipo linakuja suala la ujamaa,

Mkuu hapo kwenye red unamaanisha au upo boozed mazee?
Binadamu wote ni sawa ndo imani ya CCM hii ya ****** na marope? CCM hii hii ina imani ya ujamaa?

You must be boozed!
 
Kama ipo itawekwa jamvini tuijadili, kama haitaletwa inaweza kuwepo lakini labda haijadiliki
 
Kuna ubaya gani Msomi Mtanzania kwepo kwenye payroll ya chama cha Wa-Tanzania na hata kuchukua muda wake kifikiri kwa niaba na faida ya chombo hicho cha wazalendo??

Je kwako wewe unaona kasoro gani hasa hadi hapo pale ambapo wasomi wenyewe wa nchi hii na Middle-Class ya Tanzania yote kuhiari kujiunga na CHADEMA na kukitumikia kwa moyo wake wote hata bila kuweka kitu malipo mbele kama ambavyo wengine tunavyofikiri humu??

Do incorporate just but a litle of the power of positive thinking in appreciating things that go on around you and you will always live to put a baby-face even to people who are literary far younger than you; and the direct opposite is also a reality to note too.

Naomba kuuliza swali moja tu, hivi hii imesomwa na wale wasomi waliopo kwenye pay roll yenu kama akina baregu na Kitilla? hivi hata maana ya falsa nayo mfundishwe?
 
Interview with Edwin Mtei, Chairman of the Opposition party Chadema



Goverrunent commitment to democracy doubtful
Sixty-one-year-old Edwin MTEI is the founder and chairman of Chadema (Chama cha Demokrasia na Maendeleo), one of Tanzania's growing opposition parties. Once a member of the country's sole legal party (CCM), he has held a number of important positions both nationally and internationally, among them Governor of the Bank of Tanzania ( 1965-74), Minister of Finance and Planning (1977-79) and Executive Director, International Monetary Fund (1982-86).
What is it like setting up as an opposition party in Tanzania? What has Chadema got to offer ? The Courier spoke to Mr Mtei. First, we asked him why he broke away from CCM to form his own political party.
My breakaway from CCM occurred very early in my career. I was Minister for Finance from 1977 to end of 1979. As a result of differences between the then President Julius Nyerere and myself over the management of the economy, I resigned. And I decided to go into farming instead of remaining in public service.
·What clearly distinguishes Chadema from other opposition parties?
- Chadema is not afraid of saying that the best way of running our economy is to adopt an approach that follows market forces. But it appears that CCM and many other parties here are hesitant and they are ambivalent as far as that is concerned. We are not afraid of saying that socialism as such will not work in this country.
· You have said that because you were a member of CCM you can easily point out its weaknesses. Apart from socialism, would you care to outline just a few of those weaknesses ?
- Yes, actually my own assessment of the CCM leadership is that even their idea about democracy is muddled. They do not believe in genuine freedom and even in genuine democracy at this moment. In fact they have almost confessed that the reason they adopted the multiparty system is because of their desire to secure financial aid for this country. The president himself has actually confessed that publicly. Furthermore, their lack of commitment is demonstrated by the fact that, following the introduction of multipartyism, they have actually tried to muzzle us by restricting us from being heard by the public and allowing the public to make their own decision as to what political affiliation they want. Right now we are not allowed, for example, to air our views on the radio. And in a large country like this, where people are poor and unable to read newspapers, you cannot just depend on newspapers to spread your ideas. You have to be heard over the radio. We have had to sue the Government so that Chadema and the other political parties can be heard so as to enable the people to choose their political affiliation.
· The matter is still in court?
- Yes. The court has not yet ruled.
·Many Tanzanians, though, believe that opposition parties are just simply serving as vehicles for personal political ambition. Are you using Chadema to advance your own political career?
- That is a very uncharitable thing to say. I don't think Chadema is a vehicle for political ambition. Chadema is led by people who are prepared to sacrifice their time and their resources, people who believe they have a mission to establish freedom and improve the living standards of our people. We are not out to make money. The founders of our party are not people who are looking for jobs; they are self-employed people in the professions or in business.
·Are you confident then, when it comes to defending your own personal record, that you will not be painted with the same brush as with CCM? After all, you were a member of that party and you held responsible positions.
- No. Actually I can claim to have a good record of public service of which I am proud. After holding various positions and resigning as I mentioned earlier, I sold my house in Dar es Salaam and bought a coffee farm in Arusha where I lived for about three years, before the governors of the International Monetary Fund and the World Bank elected me executive director of the IMF to represent English-speaking African countries on the board of the IMF.
· You have already indicated some of the cliff culties you are encountering setting up as a political party. Are there more? The Constitutional Commission has recommended the repeal of 40 laws to make life easier. Would that do ?
- We have said that genuine democracy cannot be established without the repeal or the substantial amendment of the 40 obnoxious laws which are in our statute books. And some of them, like the Preventive Detention Act, is a sort of sword of Damocles hanging over us all the time. If you are making a public speech and all the time you are looking over your shoulder, wondering whether the soldiers are about arrest you, you cannot be as free as you would like to be. And there are many laws on our statute books which threaten various freedoms - of speech, of movement, etc.
We have also discussed the question of involving all the political parties and the civil organizations, like Chambers of
Commerce, trade unions and religious organizations, in a participatory manner, in rephrasing and reframing the Constitution of Tanzania. The party in power says we have no mandate to discuss the Constitution, but our argument is that, since a substantial number of people have left CCM to form or join other parties and there is so much disgruntlement with the system, it is good that all of us should be involved in the design of the sort of social contract applicable under a multiparty system.

· From what you have already said, it is very easy to see where you stand on the political spectrum. You stand for market oriented development, for liberalization as well as for foreign investment. In other words you do support the reforms being carried out by the Government. But you have also spoken publicly about indigenisation, warning against foreign domination of the economy. That smacks of xenophobia, doesn't it, at a time when Indians are being accused of domination ?
- I think there is a little bit of misunderstanding about the way in which our party, Chadema, advocates the non marginalisation of the indigenous people. The indigenous people of this country have been marginalised in the sense that even prior to independence they were not even allowed to borrow from the banks, let alone put money in them. To open an account, you had to go and get a DC's permission. The indigenous people were only used as clerks or supervisors of the coffee and sisal estates.
At the time of independence there was in fact an attempt to Africanise the civil service. And incidentally I was appointed the chief Africanisation officer of the civil service by President Nyerere in 1962. Unfortunately he did not remember that there was a need to Africanise the industrial and the trade sectors. He only Africanised the administration. What happened was that, after the Arusha Declaration in 1967, he thought he could involve the bulk of the people by nationalizing - ie ensuring that companies are owned by the State so that the indigenous people could be partners in them. But the result has been that even the institutions which were created under the Arusha Declaration, the financial institutions especially, have been extensively used by parastatals which have proved rather to be parasites. They have collapsed and they are no longer of any use, even to the local people, as they are no longer producing anything. They are all bankrupt now. The Arusha Declaration, literally, was even worse; it prescribed that only people who are within certain salary levels could invest in the private sector. You could not have two salaries, you could not have shares and things like that. Even people who got senior positions as a result of Africanisation were unable to acquire any wealth. So we have been marginalised all along.
The intention now is to ensure that Africans, at least the indigenous people, are involved in the mainstream of the economy so that we cease to be marginalised. And we will do it by involving the international community, the local people who happen to be non-indigenous who are in industry and in commerce now, and the Government itself. We would use techniques such as favourable terms of credit, allocation of land licences. We are not going to pick up stones and spears and guns and chase people away from this country. We are going to involve everybody to bring people who have long been marginalised into the mainstream of the economy. You cannot call that discrimination.

· Given what you have just said, how do you see privatisation ?
- Privatisation is in fact what we have been advocating, even now as a party. We have to privatise because it is not possible to run anything efficiently with bureaucracy. Privatisation is necessary, but we have to do it in such a way that we do not make our economy too foreign at the same time. What we can do is to have some sort of caveats in the negotiations in such a way that, as the new shareholders take over the parastatals, they reserve either a portion for local people now or a portion of the shares to be sold at a later date to local people when they are available. It is a question of looking at each industry during negotiation and arriving at an appropriate agreement before privatisation.
Interview by A.O.
Now tell me where is nguvu ya umma??...All I see here is nguvu ya soko!!!
 









Aims and Objectives

The aims and objectives of CCM shall, therefore,

be as follows:
  1. To win central and local government elections in Tanzania Mainland and Zanzibar in order to form and exercise control of both the central and local governments in the United Republic of Tanzania on the one hand and Zanzibar on the other.
  2. To consolidate and defend the independence of our country and the freedom of its citizens.
  3. To promote the building of socialism and self–reliance on the basis of the Arusha Declaration.
  4. To supervise implementation of CCM's policies and to maintain and carry forward the ideological line of the founding fathers of TANU and ASP as enunciated in various writings of the two parties.
  5. To ensure that every person has the right to receive from society the protection of his or her life and of property held in accordance with the law.
  6. To ensure that every able-bodied person in our country works; and work means any lawful activity through which a person earns his or her livelihood.
  7. To oversee and protect the right and development of the peasants, workers and other people engaged in lawful self-reliance activities; and especially to ensure that every person has the right to receive a fair and just return to his labour.
  8. To ensure that through the use of organs duly established, every citizen enjoys the right to participate fully in decision-making on national affairs and matters affecting him
    or her; and that he or she has the right to freedom of expression, of movement, of religious belief and of association within the context of the law;
  9. To ensure that our country is governed in accordance with democratic and socialist principles. To preserve, foster and maintain the creed and revolutionary spirit among Tanzanians and co-operation with fellow revolutionaries wherever they may be.
  10. To safeguard the inherent dignity of the individual in accordance with the provisions of the Universal Declaration of Human Rights. To ensure that the State is the custodian of the national economy; To ensure that the Government and all public institutions actively assist in the formation and development of co-operative and socialist ventures, and other lawful self-reliance activities of the people;
  11. To ensure that the national wealth is utilised for the development of the people, and
    primarily for the eradication of poverty, ignorance and disease. To ensure that the Government and all public institutions provide equal opportunities to all citizens, women and men alike, irrespective of a person's colour, tribe, religion or status;
  12. To ensure that our country is free from all forms of injustice, intimidation, discrimination, corruption, oppression and/or favouritism.
  13. To continue the fight against neo–colonialism, imperialism and all kinds of discrimination. To strengthen fraternal relations with all political parties in other countries with similar ideological orientation and which truly oppose colonialism, neo-colonialism, imperialism and any form of discrimination.
  14. To co- operate with other parties in Africa for the purpose of bringing about African unity and to ensure that Government promotes and strengthens good neighbourliness
ccm_flag_anim.gif


Email LinksContact Us






© COPYRIGHT 2006.
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) TANZANIA
 
UWEPO WA FALSAFA KWA CCM KAMUULIZE PRINCE BAGENDA ATAKUJIBU TU!!

Hivi bro uliuliza kitu Falsafa kwa kwa kipindi cha hivi sasa hiki Chama Cha Mapinduzi ya baada ya enzi za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere??

Kwa kweli mpaka hapo wala sina jibu la haraka haraka hapa sina ila tu ni kwamba siku hizi nawaona watani zetu wakichezesha Nyimbo za akina Mbaraka Mwinshehe (nyimbo bila jasho) ila wao mtu ukichunguza vizuri vaa yao na mtindo wanaocheza basi mtu utagundua wenzetu wako ki-HIP HOP KATA-K SURUALI MLEGEZO zaidi tofauti kabisa na wazee wetu tulivyowazoea kuvaa kinadhifu na kucheza taratibu nyuzi zetu zilipendwa za Ki-Tanzania.

Makubwa, labda nikakuelekeze ukamuulize Prince Bagenda hili swali, kwa kuwa wakati fulani aliwahi kuandikia article kule Daily News, na ukiachilia mbali ukweli kwamba anafahamu fika kwamba CCM siku nyingi HAINA FALSAFA MAHUSUSI kuliongoza kwa shughuli zake za kila siku kiuongozi nchini, na bado ninayo uhakika kwamba msomi huyu ambaye SIKU HIZI HAJICHAGULIA KUJIHUJUMU MWENYEWE UWEZO WA KUFIKIRI NJE YA MIPAKA YA MASLAHI BINAFSI hatokosa jibu la kukupa wewe juu ya hilo!!!

Kusema kweli ni Mtanzania yupi asiyefahamu umahiri wa huyu baba yetu kwenye uandishi habari akitulia pindi kabla hajaamua kujichagulia uhandishi wa habari kwa kwenda mbelee???

Prince Bagenda kiukweli kabisa kabisa wewe ni miongoni mwao wasomi wa nchi hii na vichwa sana ambavyo mpaka hivi sasa navililia sana kwa kuchagua kuzika talanta zao kwenye mchanga alimradi tu bado mnapata uhakika wa vipunje vya mkate na siagi vikidondoka kwenye meza kuu ya mafisadi ndani ya CCM, hata kama Wa-Tanzania wenzako tunakufa kihoro.

Mlangira utarudi lini kwenye ulingo ukiwa na zile akili zako PURE tena???


Kwa kweli wan JF mimi naona CCM haina falsafa, kama ipo hebu mtu asummarise. Nafikiri itasaidia kuelewa hali halisi na chanzo cha matatizo ndani ya CCM.:lol:
 
FALSAFA NZURI YA CHAMA CHA SIASA NI SHARTI IAKISI JAMII HUSIKA, MAZINGIRA, RAHISI KUELEWA NA INAYOENDANA VILIVYO NA KIPINDI KATIKA MAISHA WANAMOISHI

Nitangulie kuwapa hongera sana sana tena sana CHADEMA kwa kuweza kuibuka na falsafa ambayo kiujumla ni sura halisi ya matakwa ya Wa-Tanzania na safari yetu ndefu kama jamii moja katika maisha haya.

Hakika kwa ufahamu wangu falsafa ya CDM imekidhi misingi yote muhimu kiasi cha kutosha kututambulishia kwamba CHADEMA ni watu gani katika jamii yetu, wanaamini katika lipi na siku zote tuwafanyie tathmini katika uendeshaji wa shughuli za kila siku katika taifa hili huku wananchi tukizingatia misingi gani hasa zinazotambulika rasmi.

Ndio, Falsafa ya Chama Cha Siasa si sawa na mtu kufanya ziara binafsi kwenye mbuga za wanyama kokote duniani. Wala Jambo hili halipigiwi KOFULI MLANGONI kwamba haukua nalo jana leo hii ukitangaza kuwa nalo basi ni kosa la jinai - laa hasha!! Hivyo mtu kusema kwamba labda kwa kuwa Mwenyekiti Mstaafu, Mhe Edwin Mtei, katika mahojiano yake na vyombo vya habari pengine miaka 5 iliyopita hakulitaja falsafa ya Chama; hiyo peke yake hakizuii chama kuweza kupiga hatua zaidi kwa KUJIPA SURA HALISIA kisiasa nchini.

Kiukweli, kupokezana kule kete la majukumu ndani ya Chama na hiyo ndio maana tunasema CHADEMA ni cha Wa-Tanzania wote na wala si mali ya mtu binafsi kama vilivyo vyama vingine vya mifukoni hapa nchini hivyo kama Mzee Mtei aliweza kutekeleza hatua fulani muhimu kwa uhai wa chama hiki basi nasisi Vijana Wa-Tanzania wenye mali yao tunaendelea kukamilisha mengine na mengi zaidi mazuri bado yako njiani yanakuja - kaeni mkao wa ushindi kote nchini!!

Nielewavyo mimi, falsafa ya Chama Cha Siasa kwa maelezo miepesi ni UJUMLA WA MAWAZO NA FIKRA yanayotafuta kumtambulisha mtu na au Chama na kile anachokiamini, kupenda kuliona likitendeka kwa jamii yake na kwamba yuko tayari kuwekeza muda na rasilmali nyinginezo muhimu kuendeleza fikra na mawazo hayo kwa faida na maendeleo ya jamii katika ujumla wake.

le majibu ya maswali ya msingi kama vile; (1) nyinyi kama Chama cha siasa wananchi tuwatambueni kuwa muu akina nani hasa?? (2) mnaamini katika mambo yepi hasa ambayo lasimamia ambayo ndiyo itakayokua ni chimbuko na muongozo wa shughuli zenu zote kiutendaji kama chama.

Na kwa mantiki hii ndipo nako tunapotangaza kwamba ni mwisho wa SIASA ZA MKUMBO huku tukifungua ukurasa mpya wa siasa za kisasa zenye kuegemea misingi ya wazi na iliotukuka mioyoni mwa Wa-Tanzania tuliowengi.

Hadi hapo nawashauri vijana wenzangu kote nchini na wananchi kwa ujumla kwamba maadam sote tumeshajionea madhara makubwa yalioletwa na falsafa mpya ya Chama fulani nchini; falsafa ya 'Kasi Mpya, Nguvu Mpya na Ari Mpya' pasipo kuelewa hasa dira zima ya wapi tunakopelekwa kama taifa, na hatimaye kutokea ajali ya mwaka kisiasa ambapo chama hicho hivi sasa kimeparaganyika vipande 200 kidogo, ni muda muafaka sote tukajiunga CHADEMA leo hii na wala si kesho.

Hakika CHADEMA pekee ndiyo nyumba salama kisiasa kwa watu wa rika zote, dini zote, rangi zote, jinsia zote na daraja zote za uelewa sawa na vile ambayo hata Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliiona na kutuambia kwa kinywa kipana sote nchini.


Interview with Edwin Mtei, Chairman of the Opposition party Chadema


Goverrunent commitment to democracy doubtful

Sixty-one-year-old Edwin MTEI is the founder and chairman of Chadema (Chama cha Demokrasia na Maendeleo), one of Tanzania's growing opposition parties.

Once a member of the country's sole legal party (CCM), he has held a number of important positions both nationally and internationally, among them Governor of the Bank of Tanzania ( 1965-74), Minister of Finance and Planning (1977-79) and Executive Director, International Monetary Fund (1982-86).


What is it like setting up as an opposition party in Tanzania? What has Chadema got to offer ? The Courier spoke to Mr Mtei. First, we asked him why he broke away from CCM to form his own political party.

My breakaway from CCM occurred very early in my career. I was Minister for Finance from 1977 to end of 1979.

As a result of differences between the then President Julius Nyerere and myself over the management of the economy, I resigned.

And I decided to go into farming instead of remaining in public service.


·What clearly distinguishes Chadema from other opposition parties?

- Chadema is not afraid of saying that the best way of running our economy is to adopt an approach that follows market forces.

But it appears that CCM and many other parties here are hesitant and they are ambivalent as far as that is concerned.

We are not afraid of saying that socialism as such will not work in this country.


· You have said that because you were a member of CCM you can easily point out its weaknesses. Apart from socialism, would you care to outline just a few of those weaknesses ?

- Yes, actually my own assessment of the CCM leadership is that even their idea about democracy is muddled. They do not believe in genuine freedom and even in genuine democracy at this moment.

In fact they have almost confessed that the reason they adopted the multiparty system is because of their desire to secure financial aid for this country. The president himself has actually confessed that publicly.

Furthermore, their lack of commitment is demonstrated by the fact that, following the introduction of multipartyism, they have actually tried to muzzle us by restricting us from being heard by the public and allowing the public to make their own decision as to what political affiliation they want.

Right now we are not allowed, for example, to air our views on the radio. And in a large country like this, where people are poor and unable to read newspapers, you cannot just depend on newspapers to spread your ideas. You have to be heard over the radio.

We have had to sue the Government so that Chadema and the other political parties can be heard so as to enable the people to choose their political affiliation.


· The matter is still in court?

- Yes. The court has not yet ruled.

·Many Tanzanians, though, believe that opposition parties are just simply serving as vehicles for personal political ambition. Are you using Chadema to advance your own political career?

- That is a very uncharitable thing to say. I don't think Chadema is a vehicle for political ambition.

Chadema is led by people who are prepared to sacrifice their timeand their resources, people who believe they have a mission to establish freedom and improve the living standards of our people. We are not out to make money.

The founders of our party are not people who are looking for jobs; they are self-employed people in the professions or in business.


·Are you confident then, when it comes to defending your own personal record, that you will not be painted with the same brush as with CCM? After all, you were a member of that party and you held responsible positions.

- No. Actually I can claim to have a good record of public service of which I am proud.

After holding various positions and resigning as I mentioned earlier, I sold my house in Dar es Salaam and bought a coffee farm in Arusha where I lived for about three years, before the governors of the International Monetary Fund and the World Bank elected me executive director of the IMF to represent English-speaking African countries on the board of the IMF.


· You have already indicated some of the cliff culties you are encountering setting up as a political party. Are there more? The Constitutional Commission has recommended the repeal of 40 laws to make life easier. Would that do ?

- We have said that genuine democracy cannot be established without the repeal or the substantial amendment of the 40 obnoxious laws which are in our statute books. And some of them, like the Preventive Detention Act, is a sort of sword of Damocles hanging over us all the time.

If you are making a public speech and all the time you are looking over your shoulder, wondering whether the soldiers are about arrest you, you cannot be as free as you would like to be. And there are many laws on our statute books which threaten various freedoms - of speech, of movement, etc.


We have also discussed the question of involving all the political parties and the civil organizations, like Chambers of Commerce, trade unions and religious organizations, in a participatory manner, in rephrasing and reframing the Constitution of Tanzania.

The party in power says we have no mandate to discuss the Constitution, but our argument is that, since a substantial number of people have left CCM to form or join other parties and there is so much disgruntlement with the system, it is good that all of us should be involved in the design of the sort of social contract applicable under a multiparty system.


· From what you have already said, it is very easy to see where you stand on the political spectrum. You stand for market oriented development, for liberalization as well as for foreign investment. In other words you do support the reforms being carried out by the Government. But you have also spoken publicly about indigenisation, warning against foreign domination of the economy. That smacks of xenophobia, doesn't it, at a time when Indians are being accused of domination ?

- I think there is a little bit of misunderstanding about the way in which our party, Chadema, advocates the non marginalisation of the indigenous people.

The indigenous people of this country have been marginalised in the sense that even prior to independence they were not even allowed to borrow from the banks, let alone put money in them.

To open an account, you had to go and get a DC's permission. The indigenous people were only used as clerks or supervisors of the coffee and sisal estates.


At the time of independence there was in fact an attempt to Africanise the civil service. And incidentally I was appointed the chief Africanisation officer of the civil service by President Nyerere in 1962. Unfortunately he did not remember that there was a need to Africanise the industrial and the trade sectors. He only Africanised the administration.

What happened was that, after the Arusha Declaration in 1967, he thought he could involve the bulk of the people by nationalizing - ie ensuring that companies are owned by the State so that the indigenous people could be partners in them.

But the result has been that even the institutions which were created under the Arusha Declaration, the financial institutions especially, have been extensively used by parastatals which have proved rather to be parasites.

They have collapsed and they are no longer of any use, even to the local people, as they are no longer producing anything. They are all bankrupt now. The Arusha Declaration, literally, was even worse; it prescribed that only people who are within certain salary levels could invest in the private sector.

You could not have two salaries, you could not have shares and things like that. Even people who got senior positions as a result of Africanisation were unable to acquire any wealth. So we have been marginalised all along.


The intention now is to ensure that Africans, at least the indigenous people, are involved in the mainstream of the economy so that we cease to be marginalised.

And we will do it by involving the international community, the local people who happen to be non-indigenous who are in industry and in commerce now, and the Government itself.

We would use techniques such as favourable terms of credit, allocation of land licences. We are not going to pick up stones and spears and guns and chase people away from this country.

We are going to involve everybody to bring people who have long been marginalised into the mainstream of the economy. You cannot call that discrimination.


· Given what you have just said, how do you see privatisation ?

- Privatisation is in fact what we have been advocating, even now as a party. We have to privatise because it is not possible to run anything efficiently with bureaucracy.

Privatisation is necessary, but we have to do it in such a way that we do not make our economy too foreign at the same time. What we can do is to have some sort of caveats in the negotiations in such a way that, as the new shareholders take over the parastatals, they reserve either a portion for local people now or a portion of the shares to be sold at a later date to local people when they are available.

It is a question of looking at each industry during negotiation and arriving at an appropriate agreement before privatisation.


 
UWEPO WA FALSAFA KWA CCM KAMUULIZE PRINCE BAGENDA ATAKUJIBU TU!!

Hivi bro uliuliza kitu Falsafa kwa kwa kipindi cha hivi sasa hiki Chama Cha Mapinduzi ya baada ya enzi za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere??

Kwa kweli mpaka hapo wala sina jibu la haraka haraka hapa sina ila tu ni kwamba siku hizi nawaona watani zetu wakichezesha Nyimbo za akina Mbaraka Mwinshehe (nyimbo bila jasho) ila wao mtu ukichunguza vizuri vaa yao na mtindo wanaocheza basi mtu utagundua wenzetu wako ki-HIP HOP KATA-K SURUALI MLEGEZO zaidi tofauti kabisa na wazee wetu tulivyowazoea kuvaa kinadhifu na kucheza taratibu nyuzi zetu zilipendwa za Ki-Tanzania.

Makubwa, labda nikakuelekeze ukamuulize Prince Bagenda hili swali, kwa kuwa wakati fulani aliwahi kuandikia article kule Daily News, na ukiachilia mbali ukweli kwamba anafahamu fika kwamba CCM siku nyingi HAINA FALSAFA MAHUSUSI kuliongoza kwa shughuli zake za kila siku kiuongozi nchini, na bado ninayo uhakika kwamba msomi huyu ambaye SIKU HIZI HAJICHAGULIA KUJIHUJUMU MWENYEWE UWEZO WA KUFIKIRI NJE YA MIPAKA YA MASLAHI BINAFSI hatokosa jibu la kukupa wewe juu ya hilo!!!

Kusema kweli ni Mtanzania yupi asiyefahamu umahiri wa huyu baba yetu kwenye uandishi habari akitulia pindi kabla hajaamua kujichagulia uhandishi wa habari kwa kwenda mbelee???

Prince Bagenda kiukweli kabisa kabisa wewe ni miongoni mwao wasomi wa nchi hii na vichwa sana ambavyo mpaka hivi sasa navililia sana kwa kuchagua kuzika talanta zao kwenye mchanga alimradi tu bado mnapata uhakika wa vipunje vya mkate na siagi vikidondoka kwenye meza kuu ya mafisadi ndani ya CCM, hata kama Wa-Tanzania wenzako tunakufa kihoro.

Mlangira utarudi lini kwenye ulingo ukiwa na zile akili zako PURE tena???

I Salute you :redfaces:
 
unapaswa kuwa umekufa au haujawahi kuishi Tanzania ndio uwe hauifahamu Falsa ya CCM, maana hata ukilitaja jina hili kwa kirefu utapata majibu.
CCM maana yake chama cha mapinduzi. Je ni mapinduzi yapi ambayo chama hiki kimefanya, hata ndani ya chama chenyewe mapinduzi hayajafanyika yoyote, isipokuwa kupindua itikadi za kikulima na kifanyakazi kuwa za kibepari na kichakachuaji.
 
Ujamaa na kijimegea au kujitegemea.

Mhe JK N alianza na haki na watu kujenga falsafa.

Sasa naona mnashindwa kunielimisha kuhusu falsafa ya CCM

Labda it is out of Date.

Take me serious, This is a source of problem in CCM:hug:
 
sasa kazi za akina Kitila huko kwenu ni nini? au kuweka vigezo vya kujaza wabunge wa viti maalum kwenye ukoo wa Mtei?

Kazi zao ni kula ruzuku ya CDM mpaka iishe, na kuwafanya vibaya ..........ili wawape ubunge wa viti maalum !
 
Back
Top Bottom