Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Mkuu hebu angalia hii hali....
Wewe ni mwanaume, na umetoka kwa Da Sophy....unafika nyumbani unadaiwa haki.......
Hahahaaaaa!!!! mkuu, unaanzaje ku-fake?
Watu wanakuwa wamekamuliwa kwa akina da sophy lakini wakurudi angalao povu tu linatoka bana!! tehe tehee!!