Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Dada mmoja alikuwa anasema,hawa wanaume siku hizi ni fake
kweli,ni wanaume suruali tu.
Kalalamika kweli,nili muuliza swali moja tu,wanaume wote unawajua?
Akasema,..."ndo wale wale tu,hamna kitu".
Sikuongea tena.
Lakini katika kumtazama kwangu bila yeye kujua,chini mpaka juu
niliona yafuatayo.
Alikuwa na Nywele fake (bandia).
Alikuwa na Kucha fake (bandia).
Alikuwa na nyusi fake (bandia).
Alikuwa na rangi fake,mchubuo.
Alikuwa na maziwa ambayo ukiyaona kabisa ni fake (mchina).
*************hiki cha mwisho sitakisema ila ni fake pia.
Nika jiuliza sana,huyu kila kitu kwake ni fake,bado anategemea apate
mwanaume original?
Watakao mfuata ni fake,maana nao wanafurahishwa nae siku moja tu then wana
kimbia coz ufake unachosa haraka.
Yes,alikuwa sahihi,wanaume wote alio kutana nao ni fake,maana yeye ni fake
in the first place.
Kuwa ulivyo,ili upendwe kama ulivyo.
kweli,ni wanaume suruali tu.
Kalalamika kweli,nili muuliza swali moja tu,wanaume wote unawajua?
Akasema,..."ndo wale wale tu,hamna kitu".
Sikuongea tena.
Lakini katika kumtazama kwangu bila yeye kujua,chini mpaka juu
niliona yafuatayo.
Alikuwa na Nywele fake (bandia).
Alikuwa na Kucha fake (bandia).
Alikuwa na nyusi fake (bandia).
Alikuwa na rangi fake,mchubuo.
Alikuwa na maziwa ambayo ukiyaona kabisa ni fake (mchina).
*************hiki cha mwisho sitakisema ila ni fake pia.
Nika jiuliza sana,huyu kila kitu kwake ni fake,bado anategemea apate
mwanaume original?
Watakao mfuata ni fake,maana nao wanafurahishwa nae siku moja tu then wana
kimbia coz ufake unachosa haraka.
Yes,alikuwa sahihi,wanaume wote alio kutana nao ni fake,maana yeye ni fake
in the first place.
Kuwa ulivyo,ili upendwe kama ulivyo.