fainali

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Mgonjwa:daktari nina matatizo ya kuota kila siku panya wanacheza mpira
Daktari:basi nitakupa dawa utumie leo ukifika nyumbani
Mgonjwa:daktari nitatumia kesho mana leo ndo watacheza fainali
 
Hahahahahahahahahahahah......
We Excellent sio mzima wewe...
hehehehehehehe....uiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......
mbavu zangu!!!!
JF Dr,kamata Excellent;pima akili yake......
huhuhuhu...kwekwekwekweeeeeeeeeeeeeee...
 
Hahahahahahahahahahahah......
We Excellent sio mzima wewe...
hehehehehehehe....uiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......
mbavu zangu!!!!
JF Dr,kamata Excellent;pima akili yake......
huhuhuhu...kwekwekwekweeeeeeeeeeeeeee...
jamaa kaona vidonge visubiri kesho vinaharibu ratiba ya ligi
 
Na jamaa alikua ameshanunua tiket ya mechi tayar halafu docta anataka kumzingua...

Umetisha bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom