Tunaweza kuangalia online kwa tusiokuwa na tv?
unatumia kisimbuzi nn?
Tbc majanga
Labda atumie dstv atawapata vizuri maana kwenye antenna za startimes zinasumbua sana
Jamani kwa walioko kwenye live show watume up date.
Mpaka Muda huu Fainali Ya Epic Bongo Star Search TBC1 ni Kuchezewa tu Miziki Mchanganyiko na Kiukweli Wametuangusha Mno Kwani Wenyewe Tulikuwa Tumeipania Kuiangalia ili Nasi Kesho Tutambe Mjini Kwa Kuhadithia Uwongo na Kweli Sasa Leo TBC1 Wamemaliza Ubishi na Kesho Hakuna wa Kumdanganya Mwenzake Mjini Labda Kwa Wale Waliokwenda tu Leo Club Escape ila Najua Wengi Kudadadeki Tupo tu Glued ktk Tv Sets Zetu Tukikodoa Tu Mimacho huku Tukiwa Tumenuna. Hureeeeeeee Hatimaye Sasa TBC1 Wapo Hewani Ikienda Saa 5 Kasorobo. Sasa Tunangojea Akina Yahaya Kesho Mtaani Watudanganye!