Faida za kutumia ubuntu

usielewe vibaya elmagnifico, mi mwenyewe mpenzi wa linux, ila nachosema ni kwamba linux sio ya raia wa kawaida, ni ya watu wanaojua computers, commands na mengineo
ni sawa na say.. overclocking. hamna kitu kitamu kama an overclocked computer, ila kwa mtu wa kawaida, its not easy and hataona the need to do it
mfano my rigged desktop ni
CPU: Intel Core 2 Duo E8500 (2.4ghz overclocked to 4.2ghz)
MB: Asus P5E3 Premium X48
Memory: CORSAIR Vengeance 4GB 240-Pin DDR3 1233 (overclocked to 1600)
VGA: 1gb Ati Radeon HD 6950 (overclocked from 840/1325 to 895/1375)

kama unavo ona nimenyonga the most out of my PC. nimefanya hivo becoz uwezo wa kununua better (read pricier) Pc kwa sasa sina, ila overclocking is not everybodys thing, same with linux. and its not better too :biggrin:
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wewe ndio muongo wa kutupwa Mimi pia ni programmer niliyebobea kwenye java na php na huwa nafanyia kwenye Ubuntu sasa inaelekea wewe ni victim wa .net ndio maana unainyenyekea mkuu dunia inahamia kwenye open source ohoooooo!!!!!! Na application nyingi ni web based Microsoft kwisha habari yake
Wewe wasema. Mimi napiga JAVA, PHP, .NET wewe usidangaye watu ulimwengu hata sikumoja hautahamia kwenye open source. Angalia Sun Macrosystems imenunuliwa na Oracle kwa maana hiyo Mysql sio open source tena.
Ngonja nikuulize je Kuna website design application nyingine nzuri kama Dreamwever?

Acha uongo wewe! Usidanaganywe na siasa za ubuntu.
 
Wewe wasema. Mimi napiga JAVA, PHP, .NET wewe usidangaye watu ulimwengu hata sikumoja hautahamia kwenye open source. Angalia Sun Macrosystems imenunuliwa na Oracle kwa maana hiyo Mysql sio open source tena.
Ngonja nikuulize je Kuna website design application nyingine nzuri kama Dreamwever?

Acha uongo wewe! Usidanaganywe na siasa za ubuntu.
Mkuu juzi juzi nilikuwa Holland wengi wao wameconvert ma system zao kwenda non proprietor platform kwaajili ya freedom na cost ohoooo!!!!! mkuu ng'ang'ania .NET ikutoe roho Ulaya wameshabadilika mkuu wewe ng'ang'ania Microsoft kama masecretary kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! teh! halafu mimi sizungumzii website nazungumzia webbased application after all sikuhizi kuna Ma CMS mengi kama JOOMLA MAMBO na DRUPAL mpaka hii JF wanatumia PHPBB sasa Dreamweaver ya nini kuedit code? kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! Natumia NetBeans na Eclipse. wewe unafanya kazi EXACT naona hata avatar yako ndio Logo za software zao na wale nawafahamu visoftware vyao wanatengenezea kwenye Access halafu unanidanganya unajua JAVA kwi! kwi! kwi! teh! teh!
 
Mkuu juzi juzi nilikuwa Holland wengi wao wameconvert ma system zao kwenda non proprietor platform kwaajili ya freedom na cost ohoooo!!!!! mkuu ng'ang'ania .NET ikutoe roho Ulaya wameshabadilika mkuu wewe ng'ang'ania Microsoft kama masecretary kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! teh! halafu mimi sizungumzii website nazungumzia webbased application after all sikuhizi kuna Ma CMS mengi kama JOOMLA MAMBO na DRUPAL mpaka hii JF wanatumia PHPBB sasa Dreamweaver ya nini kuedit code? kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! Natumia NetBeans na Eclipse. wewe unafanya kazi EXACT naona hata avatar yako ndio Logo za software zao na wale nawafahamu visoftware vyao wanatengenezea kwenye Access halafu unanidanganya unajua JAVA kwi! kwi! kwi! teh! teh!
Hakuna haja ya kutambiana pasipo na sababu hebu visit site nilizo zitengeneza uzione
Halafu na application zangu nilizozifanya
1. Nenda Tanroad kaulizie Application ya Datasychronization watakuambia.
2. Neda GTZ kaulizie System ya Baseline Study
3. Nenda Under the same sun Kaulizie application ya MISY

Hizo ni mfano tu na ukitaka unijue nitafute utajua kama am a programmer or not.

Tembelea kwenye website yangu ninayo imalizia Mawio Macrosystem.
 
Hakuna haja ya kutambiana pasipo na sababu hebu visit site nilizo zitengeneza uzione
Halafu na application zangu nilizozifanya
1. Nenda Tanroad kaulizie Application ya Datasychronization watakuambia.
2. Neda GTZ kaulizie System ya Baseline Study
3. Nenda Under the same sun Kaulizie application ya MISY

Hizo ni mfano tu na ukitaka unijue nitafute utajua kama am a programmer or not.

Tembelea kwenye website yangu ninayo imalizia Mawio Macrosystem.
Salute mkuu nimeona site yako imesimama
 
Mkuu juzi juzi nilikuwa Holland wengi wao wameconvert ma system zao kwenda non proprietor platform kwaajili ya freedom na cost ohoooo!!!!! mkuu ng'ang'ania .NET ikutoe roho Ulaya wameshabadilika mkuu wewe ng'ang'ania Microsoft kama masecretary kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! teh! halafu mimi sizungumzii website nazungumzia webbased application after all sikuhizi kuna Ma CMS mengi kama JOOMLA MAMBO na DRUPAL mpaka hii JF wanatumia PHPBB sasa Dreamweaver ya nini kuedit code? kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! Natumia NetBeans na Eclipse. wewe unafanya kazi EXACT naona hata avatar yako ndio Logo za software zao na wale nawafahamu visoftware vyao wanatengenezea kwenye Access halafu unanidanganya unajua JAVA kwi! kwi! kwi! teh! teh!

Uanichukulia jf kirahisi eeh eti phpbb, jf ni vbuletin halaf bei yake pasua kichwa hebu take ur time google kidogo
 
Uanichukulia jf kirahisi eeh eti phpbb, jf ni vbuletin halaf bei yake pasua kichwa hebu take ur time google kidogo
Kwani wewe unaichukuliaje phpbb?customization yake ni complex mkuu sio ndio maana jf wanaweza kuongeza features v bulletin ni proprietor platform hawana uhuru huo
 
Mkuu naona tunapoteza muda vbulletin imetengenezwa kwenye .net wakati jf mwishoni inaonyesha ni php

http://https://www.vbulletin.com/fo...LL-has-been-released-(vBulletin-com-upgraded)

Hebu soma hapo features mpya za vbuletin 4.20 sjaona kitu hata kimoja ambacho hakina .php mbele

Then brother usije fananisha phpbb na vbuletin tena watakucheka wenzako, mobile version za phpbb na mybb hadi leo mbaya kweli zina bugs zisizohesabika

Respect kwa jf kwa kutuletea product kama hii
 
pigeni porojo zenu za kutaka kuonyeshana ujuwaji.kwangu nikiwa kama graphics designer/animator/video editor,Mac Os na Window sitahama hata iweje period.
 
Hakuna haja ya kutambiana pasipo na sababu hebu visit site nilizo zitengeneza uzione
Halafu na application zangu nilizozifanya
1. Nenda Tanroad kaulizie Application ya Datasychronization watakuambia.
2. Neda GTZ kaulizie System ya Baseline Study
3. Nenda Under the same sun Kaulizie application ya MISY

Hizo ni mfano tu na ukitaka unijue nitafute utajua kama am a programmer or not.

Tembelea kwenye website yangu ninayo imalizia Mawio Macrosystem.
you are floating high buddy.i have seen it.the web is illest.
 
hapo naweza pingana na wewe, installation ya software kwenye ubuntu ni simple than any
os maana kunastore ya apps wewe nikuingia na kuchagua software yako na kuinstall. Swala la user interface ubuntu unaweza ichange unavyotaka maana kuna desktop manager nyingi e.g. gnome shell, kde, xfce etc. Tatizo kubwa watu wengi walianza kutumia windows hivyo kuaccept new ui inakuwa vigumu.

kaka samahani inabidi nikucontact maana naona unaidea mm napatikana kwa email yangu ni cufulgence@gmail.com hebu nahitaji kujua about kde xfce na gnome shell ni tofauti gani maana natumia ubuntu 12.04
 
Naona ndugu yangu wewe ni Programmer mchwara.Pole sana kwa kuwadanganya watu kwamba huwezi kutumia Ubuntu na sio ubutu kwenye organization. Kwa taarifa yako Google wanatumia Version ya Ubuntu wanaiita Goobuntu.Tatizo linalowashinda wengi na wewe ukiwa mmoja wapo ni jinsi ya kuitaarisha ili ifae kwenye mazingira yako ya kazi ikichangiwa na uvivu.
Samahani kama nitakuwa nimekuudhi ila fanya Research tena ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom