Faida za kutoka nje ya ndoa

Akaendelea kusema nanukuu "Faida ya kutoka nje ya ndoa ni kunaongeza mahaba, wanaume wengi wanapotoka nje ya ndoa wakirudi nyumbani hujitahidi sana kuongeza mapenzi kwa wake zao, mwanaume anaweza kurudi nyumbani akiwa amebeba zawadi kibao huku akionyesha mahaba ya hali ya juu, yote haya anayafanya ili mke wake asibaini kuwa anatoka kusalitiwa" mwisho wa kunukuu

Kwa kauli hii, nitasaliti daima!
 
Faida sioni kabisaaa!
hasara ndio nyingi
1. Kuwa mbali na Mungu
2. Stress
3. Un necessary expenditure
4. Magonjwa
5. Kuto kuwa huru
6. Kukosa amani
7.
 
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!
Nawasilisha

...naaam, wakati huo ushakumbwa na mtaka yote kwa pupa hukosa yote.
Kuna faida gani kutambua ubora na heshima ya Ex-wife wako baada ya upuuzi huo?
 
Ndugu hakuna faida yoyote..tendo la ndoa limekaa kiroho zaidi, kwani ukishakuwa mwili mmoja na huyo kahaba mwenzako..usishangae na mama naye akaanza ukahaba tena wa kukuzidi (hiyo ni formula ya roho)...au hujasikia waswahili wakiongea baada ya uzinzi alipata kimavi,msinambe,nuksi,mkosi kazini au ajali mbaya hiyo ni miroho umeibeba...sasa bora ukutane na haya manukusi kuliko usikie mama naye kaanza kutoa ile 'kitu'...
 
Sasa mkuu ukila chungwa kila siku,, ukiona ndimu utadhani nayo ni tamu kama chungwa. Ila ukionja hiyo ndimu ndipo utaliheshimu sana chungwa la kila siku. Waswahili wanasema kusaliti ni kama kulamba shubiri,, bila kuionja unaweza kudhani ni tamu lakini utakapoonja na kubaini ni chungu siku nyingine huwezi kurudia kulamba.
<br />
<br />

sasa ndo ujue km haina faida!
 
i


Binafsi hunisaidia sana kumhehsimu mke wangu. Unajua ukishapiga nje unakuwa kama unajihisi una hatia hivi, kwa hiyo mapenzi yanakuwa kwa sana. Halafu unaona kuwa kule nje hakuna cha ajabu - sana sana mambo madogo mamdogo tu.
Pia nje kuna mambo unaweza kuyaomba na ukayapata - nyumbani huwezi (simaanishi michezo michafu).
Lakini naona wanawake zetu wakienda nje wanarudi na madharau kibao - tofauti na sie
hii michezo michafu unamaanisha ipi mkuu?
 
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi?

1. Faida: Utakuwa umejikatia tiketi ya bei chee kwenda motoni kwani Mungu hataki hiyo.
2. Faida: Utaweza kujithibitishia wewe mwenyewe kuwa ni mbinafsi, mzandiki, mfinyu wa fikra na etc.
3. Faida: Utaweza kujithibitishia wewe mwenyewe ndani ya roho yako kuwa huna upendo wa kweli kwa mwenza na mapenzi yako ni feki.
4. Faida: Utakuwa umejihakikishia kuwa mtumwa wa kudumu wa shetani.
5. Faida: Utakuwa umehakikisha kuwa umeshindwa mtihani wa majaribu ambao ulikuwa unajua kuwa utashindwa.
6. Faida: Utasifiwa sana na Changudoa au nyumba ndogo kuwa una mapenzi na atasema wewe ni namba moja katika mapenzi kumbuka sifa zitazidi kadri utavyokuwa unatoa hela nyingi.


1. Hasara: Utamletea magonjwa mwenza ambaye labda hana makosa yeyote.
2. Hasara: Matendo yako machafu yatakusuta milele ndani ya roho yako.
3. Hasara: Siri zako ndani mfano kukoroma au kufanya majambo ya ajabu wakati wa kufanya mapenzi zitajulikana na wengi.
4. Hasara: Utakuwa umewekeza katika ujenzi wa nyumba au maisha ya changudoa au nyumba ndogo ambayo hutaweza kuambulia hata senti tano.
5. Hasara: Kwa sababu hela nyingi zitaenda kwa changudoa au nyumba ndogo.. Familia yako inaweza kuyumba na kuangaika hadi watoto wakashindwa kwenda shule. Lakini usijali sio issue sana kwani wakati huo utakuwa hujali cha familia wala watoto.

NB: Soma vizuri hizo faida na uamue mwenyewe kama ziendelee kukaa hapo au ziamie chini kwenye hasara..
 
faida zipo,we tafuta m/mke mwenye chapaa,utazaa nae na watoto ni wa baba,hata kama ni fukara,hizo hasara za sasa zitakuwa neutralized kwa hili!!!
 
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!
Nawasilisha

Ni hasara tu!!!
 
Ni kujiongezea shida tu,na kutafuta presha zisizo na tija
 
Mkuu hoja zako zina nguvu na ni resonable.naunga mkona hoja yako
Faida sioni kabisaaa!<br />
hasara ndio nyingi<br />
1. Kuwa mbali na Mungu<br />
2. Stress<br />
3. Un necessary expenditure<br />
4. Magonjwa<br />
5. Kuto kuwa huru<br />
6. Kukosa amani<br />
7.
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom