- Thread starter
- #21
Hapana, usiogope, you just marry someone and join the club!Kwa mtaji huu I might as well stay unmarried forever!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, usiogope, you just marry someone and join the club!Kwa mtaji huu I might as well stay unmarried forever!
Hahahaha!!! LolIlikuwa zamani, sasa hivi mambo yamebadilika!! Mwanamke bikira utamtatia wapi? Labda za kichina!
Hata ukipata sampuli ya nyumba kubwa?!
Finest, you dig too deep man! Nigerians say " nawaooo,,small small now"1. So you are part and parcel of it?????
2. Unaposema personal experience unamaanisha tayari umeishatoka nje ya ndoa yako???
Hapana, usiogope, you just marry someone and join the club!
Hili nalo neno!! maana wengi walioa au kuolewa nadhani wangeweza ku-reverse naamini 98% wangefanya hivyoFaida ni kugundua kwamba hukupaswa kuoa/kuolewa!!
1. So you are part and parcel of it?????
2. Unaposema personal experience unamaanisha tayari umeishatoka nje ya ndoa yako???
Duh! Hicho kisanduku ndicho kinacholeta au kuwapa watu Presha maana siri zetu wenyewe ndizo zinatuuaKuna mtu alisema yafuatayo nina nukuu "Miongoni mwa faida za mwenza kusaliti ni kudumu kwa ndoa" akaendelea kusema "Ndoa zisizo na usaliti, wakimaanisha uaminifu aslimia 100 inapotokea mmoja akachepuka, mwenzake akibaini, maisha yao ya ndoa huishia hapo hapo" akazidi kulonga kuwa "Ndani ya moyo wa binadamu kuna kisanduku cha dhamira ambacho kazi yake kubwa ni kumkumbusha binadamu uovu wake na hivyo kutulia anavyotendewa" mwisho wa kunukuu.
Salimia banaa ndio maana kaniambia i am digging to deep lol!!!Ah afu kasema baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje..........!!
Hapo ntalegeza msimamo aisee. Sampuli za Nyumba Kubwa ni tunu.
Na tunu zinabidi zipate wamiliki wa maana so usiogope kirahisi hivyo!!
Hahaahaha....naweza nikawa!!Wewe ni tunu?
Hahaahaha....naweza nikawa!!
And why is you all smiley face...?!I'm smiling like a kid in a candy store!!
And why is you all smiley face...?!
Coz you got "tunu" potential....
<br />Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!<br />
Nawasilisha