Faida ya samaki (fish)

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
SAMAKI (FISH)

• Huyayusha damu, huifanya kuwa nyepesi
• Huilinda mishipa ya damu isiharibike
• Huzuia damu kuganda
• Hushusha shinikizo la damu
• Hupunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo na kiharusi
• Hutuoa ahueni kwa wenye ugonjwa wa kipandauso
• Husaidia kuzuia uvumbe mwilini
• Huendesha mfumo wa kinga ya mwili
• Huzuia saratani
• Hutoa ahueni kwa wenye pumu
• Hupambana na dalili za awali za ugonjwa wa figo
• Huongeza nishati ya ubongo
KITUNGUU SAUMU (GARLIC)
• Hupambana na maambukizi
• Ina kemikali zenye uwezo wa kudhibiti saratani
• Hufanya damu kuwa nyepesi
• Hupunguza shinikizo la damu na kolestro
• Huamsha mfumo wa kinga ya mwili
• Huzuia na kutoa ahueni kwa kikohozi kilaini.
• Huweza kutumika kama dawa ya kifua
TANGAWIZI (GINGER)
• Huzuia ugonjwa wa kutetemeka
• Hufanya damu kuwa nyepesi
ZABIBU (GRAPE)
• Ina uwezo wa kufanya virusi visifanyekazi
• Huzuia meno kuoza
• Ina mchanganyiko wenye uwezo wa kuzuia saratani
PILIPILI HOHO (GREEN CHILLIES)
• Dawa nzuri ya mapafu
• Hutumika kama dawa ya kifua
• Huzuia na kuponya kikohozi kikali
• Husaidia kuyeyusha mabonge ya damu
• Hutoa maumivu
• Huweza kumfanya mtu kuwa na furaha
ASALI (HONEY)
• Huua vijidudu (bacteria)
• Huondoa wadudu kwenye vidonda na malengelenge
• Huondoa dalili za maumivu
• Hutoa ahueni kwa wagonjwa wa pumu
• Hutuliza maumivu ya vidonda vya koo
• Hutuliza mishipa ya damu, humpatia mtu usingizi
• Hutoa ahueni kwa mtu anayeharisha
MAZIWA (MILK)
• Huzuia ugonjwa wa mifupa (osteoporosis)
• Hupambana na maambukizi, hasa kuharisha
• Hurekebisha kuchafuka kwa tumbo
• Huzuia vidonda vya tumbo
• Huzuia kuoza kwa meno
• Huzuia mtu kupatwa na kikohozi
• Huongeza nishati ya ubongo
• Hushusha shinikizo la damu
• Hushusha kiwango cha kolestro mwilini
• Hudhibiti baadhi ya saratani
UYOGA (MUSHROOM)
• Hufanya damu kuwa nyepesi
• Huzuia saratani
• Hushusha kiwango cha kolestro
• Huchangamsha mfumo wa kinga ya mwili
• Hudhoofisha virusi
SHAYIRI (OATS)
• Dawa bora ya moyo
• Hushusha kolestro mwilini
• Hurekebisha sukari kwenye damu
• Ina mchanganyiko wa virutubisho unaodhibiti saratani
• Hupambana na kuvimba kwa ngozi
• Ina uwezo sawa na dawa ya kumpatia mtu choo
KITUNGUU MAJI (ONION)
• Dawa kubwa ya magonjwa ya moyo
• Huimarisha kolestro nzuri (HDL)
• Huifanya damu kuwa nyepesi
• Hushusha kiwango cha kolestro mbaya
• Huzuia damu kuganda
• Hurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu
• Huua vijidudu
• Huzuia saratani
 
Jituparatu,
Mapishi ya samaki ni yaleyale, ya kila siku we hujui kupika samaki au?.
Nadhani kwa kumsaidia Dr.Ni vizuri samaki akapikwa katika hari ya kuto haribu viungo yake vya asili.Nina maana kuwa samaki akichemshwa kawaida kwa kitunguu na nyanya na akaliwa kama mchemzo inakuwa nzuri kuliko yule wa kukaanga na mafuta yetu mengine yasio na TBS.
Siyo Daktari lakini nadhani mapishi mazuri ni yale ambayo unaweza ku manage kwa kutumia vitu asilia, au mafuta ya asili.
Asante.
 
...unaposema samaki, unazungumzia samaki wabichi tu ama hata wale ambao wamekaushwa na kukauka kama ubao??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom