Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
SAMAKI (FISH)
Huyayusha damu, huifanya kuwa nyepesi
Huilinda mishipa ya damu isiharibike
Huzuia damu kuganda
Hushusha shinikizo la damu
Hupunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo na kiharusi
Hutuoa ahueni kwa wenye ugonjwa wa kipandauso
Husaidia kuzuia uvumbe mwilini
Huendesha mfumo wa kinga ya mwili
Huzuia saratani
Hutoa ahueni kwa wenye pumu
Hupambana na dalili za awali za ugonjwa wa figo
Huongeza nishati ya ubongo
KITUNGUU SAUMU (GARLIC)
Hupambana na maambukizi
Ina kemikali zenye uwezo wa kudhibiti saratani
Hufanya damu kuwa nyepesi
Hupunguza shinikizo la damu na kolestro
Huamsha mfumo wa kinga ya mwili
Huzuia na kutoa ahueni kwa kikohozi kilaini.
Huweza kutumika kama dawa ya kifua
TANGAWIZI (GINGER)
Huzuia ugonjwa wa kutetemeka
Hufanya damu kuwa nyepesi
ZABIBU (GRAPE)
Ina uwezo wa kufanya virusi visifanyekazi
Huzuia meno kuoza
Ina mchanganyiko wenye uwezo wa kuzuia saratani
PILIPILI HOHO (GREEN CHILLIES)
Dawa nzuri ya mapafu
Hutumika kama dawa ya kifua
Huzuia na kuponya kikohozi kikali
Husaidia kuyeyusha mabonge ya damu
Hutoa maumivu
Huweza kumfanya mtu kuwa na furaha
ASALI (HONEY)
Huua vijidudu (bacteria)
Huondoa wadudu kwenye vidonda na malengelenge
Huondoa dalili za maumivu
Hutoa ahueni kwa wagonjwa wa pumu
Hutuliza maumivu ya vidonda vya koo
Hutuliza mishipa ya damu, humpatia mtu usingizi
Hutoa ahueni kwa mtu anayeharisha
MAZIWA (MILK)
Huzuia ugonjwa wa mifupa (osteoporosis)
Hupambana na maambukizi, hasa kuharisha
Hurekebisha kuchafuka kwa tumbo
Huzuia vidonda vya tumbo
Huzuia kuoza kwa meno
Huzuia mtu kupatwa na kikohozi
Huongeza nishati ya ubongo
Hushusha shinikizo la damu
Hushusha kiwango cha kolestro mwilini
Hudhibiti baadhi ya saratani
UYOGA (MUSHROOM)
Hufanya damu kuwa nyepesi
Huzuia saratani
Hushusha kiwango cha kolestro
Huchangamsha mfumo wa kinga ya mwili
Hudhoofisha virusi
SHAYIRI (OATS)
Dawa bora ya moyo
Hushusha kolestro mwilini
Hurekebisha sukari kwenye damu
Ina mchanganyiko wa virutubisho unaodhibiti saratani
Hupambana na kuvimba kwa ngozi
Ina uwezo sawa na dawa ya kumpatia mtu choo
KITUNGUU MAJI (ONION)
Dawa kubwa ya magonjwa ya moyo
Huimarisha kolestro nzuri (HDL)
Huifanya damu kuwa nyepesi
Hushusha kiwango cha kolestro mbaya
Huzuia damu kuganda
Hurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu
Huua vijidudu
Huzuia saratani
Huyayusha damu, huifanya kuwa nyepesi
Huilinda mishipa ya damu isiharibike
Huzuia damu kuganda
Hushusha shinikizo la damu
Hupunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo na kiharusi
Hutuoa ahueni kwa wenye ugonjwa wa kipandauso
Husaidia kuzuia uvumbe mwilini
Huendesha mfumo wa kinga ya mwili
Huzuia saratani
Hutoa ahueni kwa wenye pumu
Hupambana na dalili za awali za ugonjwa wa figo
Huongeza nishati ya ubongo
KITUNGUU SAUMU (GARLIC)
Hupambana na maambukizi
Ina kemikali zenye uwezo wa kudhibiti saratani
Hufanya damu kuwa nyepesi
Hupunguza shinikizo la damu na kolestro
Huamsha mfumo wa kinga ya mwili
Huzuia na kutoa ahueni kwa kikohozi kilaini.
Huweza kutumika kama dawa ya kifua
TANGAWIZI (GINGER)
Huzuia ugonjwa wa kutetemeka
Hufanya damu kuwa nyepesi
ZABIBU (GRAPE)
Ina uwezo wa kufanya virusi visifanyekazi
Huzuia meno kuoza
Ina mchanganyiko wenye uwezo wa kuzuia saratani
PILIPILI HOHO (GREEN CHILLIES)
Dawa nzuri ya mapafu
Hutumika kama dawa ya kifua
Huzuia na kuponya kikohozi kikali
Husaidia kuyeyusha mabonge ya damu
Hutoa maumivu
Huweza kumfanya mtu kuwa na furaha
ASALI (HONEY)
Huua vijidudu (bacteria)
Huondoa wadudu kwenye vidonda na malengelenge
Huondoa dalili za maumivu
Hutoa ahueni kwa wagonjwa wa pumu
Hutuliza maumivu ya vidonda vya koo
Hutuliza mishipa ya damu, humpatia mtu usingizi
Hutoa ahueni kwa mtu anayeharisha
MAZIWA (MILK)
Huzuia ugonjwa wa mifupa (osteoporosis)
Hupambana na maambukizi, hasa kuharisha
Hurekebisha kuchafuka kwa tumbo
Huzuia vidonda vya tumbo
Huzuia kuoza kwa meno
Huzuia mtu kupatwa na kikohozi
Huongeza nishati ya ubongo
Hushusha shinikizo la damu
Hushusha kiwango cha kolestro mwilini
Hudhibiti baadhi ya saratani
UYOGA (MUSHROOM)
Hufanya damu kuwa nyepesi
Huzuia saratani
Hushusha kiwango cha kolestro
Huchangamsha mfumo wa kinga ya mwili
Hudhoofisha virusi
SHAYIRI (OATS)
Dawa bora ya moyo
Hushusha kolestro mwilini
Hurekebisha sukari kwenye damu
Ina mchanganyiko wa virutubisho unaodhibiti saratani
Hupambana na kuvimba kwa ngozi
Ina uwezo sawa na dawa ya kumpatia mtu choo
KITUNGUU MAJI (ONION)
Dawa kubwa ya magonjwa ya moyo
Huimarisha kolestro nzuri (HDL)
Huifanya damu kuwa nyepesi
Hushusha kiwango cha kolestro mbaya
Huzuia damu kuganda
Hurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu
Huua vijidudu
Huzuia saratani