hivi wale wazee wa zamani walikuwa wanatumia njia gani. Wazazi wangu wametuspace miaka mitatu mitatu watoto wote. Na baba na mama daima walikuwa pamoja hapo nyumbani walitumia njia gani? Maana wakati ule hakukuwa na hizi njia za kisasa! nafikiri mengine ni kujiendekeza tu.mhh kutumia kalenda chans ya kukosea kubwa....kuna mabadiliko..kujisahahu...mara kakojolea ndani....sjui ipi njia nzur bt stl m dbtng kalenda:shut-mouth:
hivi wale wazee wa zamani walikuwa wanatumia njia gani. Wazazi wangu wametuspace miaka mitatu mitatu watoto wote. Na baba na mama daima walikuwa pamoja hapo nyumbani walitumia njia gani? Maana wakati ule hakukuwa na hizi njia za kisasa! nafikiri mengine ni kujiendekeza tu.
Nakushauri mtumie kalenda na kupiss nje, izo njia za uzazi za kitaalam nyingi zina madhara na huwa hazina mwisho mzuri. Ingawa wenyewe wanazifagilia sn
Mke wangu anatumia hii njia ya nyota ya kijani baadhi ya watalaamu wananishauli asitumie njia hii atumie kalenda,hakuna anayenishauri atumie njia kitaalamu nyingine zaidi ya kalenda inamaana hizi njia za kitaalamu zina madhara mwilini au
dotword tunatumia loops,kuna wakati wife akiwa mvua zinanyesha huwa yanatokea maumivu makali sana upande kulia au kushoto namguu kufa ganzi hapo kama alikuwa afanya shughuli yoyote husimama sasa sijui ni hicho kitanzi
Huu Uzi mzuri but michango kiduchu