Mkuu SicheKi itapendeza uwe unakunywa yai mojaMkuu MziziMkavu asante kwa hayo maelelezo yamenipa mwanga. Vp mayai mabichi hayana uhusiano wowote na magonj9a ya moyo.
Mi DUME kama wewe MziziMkavu Sina tatizo la nguvu za kiume; hapo sawa?.Mkuu SicheKi itapendeza uwe unakunywa yai moja bichi pamoja na kijiko kimoja cha Asali inasaidia nguvu za kiume na kama una kifua pia inasaidia. kuhusu yai bichi na uhusiano na maradhi ya moyo sijuwi labda waje wenzangu wakuambie ila kama utafanya hivyo nilivyokuambia itakuwa ni bora zaidi kama ujuavyo Asali ina faida nyingi katika mwili wa binadamu tumia njia yangu hiyo utakuwa na nguvu za kiume si unajuwa Mwanammeni nguvu za kiume? Mwenzangu ni dume kama mimi au Jike?