Faida 6 za kuishi maisha ya ukapera

hapana wamezidi ngoja 2 niongee kila thread yangu wanatia kejeli utafikiri nimewalazimisha kuchangia.
umbeya umewazid na bila shaka watakuwa ni wanawake2 hapana ubishi jibu wanalo wenyewe. hivi sie wanawake 2taacha lini kufuatilia mambo yasizo2husu?umbea umbea 2. 2namatatizo gani??

ha ha ha ha ha e e e e waambie waache umbea,utafikiri thread zote wanazoziona hapa wanajua ni za kweli. Komaana nao ala!za kwako tu ndo za kutunga?? Ha ha ha wananichekesha! Mie







aise muliotajwa hapo mwacheni N4G
 
ha ha ha ha ha e e e e waambie waache umbea,utafikiri thread zote wanazoziona hapa wanajua ni za kweli. Komaana nao ala!za kwako tu ndo za kutunga?? Ha ha ha wananichekesha! Mie
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
aise muliotajwa hapo mwacheni N4G

Halafu wewe nikikumata..............
 
Hata ingekuwa wewe ungemwacha tu,maana ilikuwa ikifika Jumamosi tu anakuambia hatoki mtu chumbani,wala sebuleni huruhusiwi kufika anakuambia wiki nzima uko kazini na weekend ni zamu yangu tutatoka J2 tu kwenda kanisani na ukirudi ndani mpaka J3 na ukitaka kutoka labda damu imwagike kwanza humu chumbani.

Mmmmmh, wewe!!!!
Mbona haya maneno magumu hivi?
 
Say no to Ukapera.
Utaishia kuiba waume za watu kwa hiari.
Bora tu, utulie, uombe Mungu, wakati ukifika Mume atakuja tu.
 
Kwa kifupi we jamaa ni mchoyo, selfish, halafu wewe ni 50, 50, yani sometiz YES sometimez NO. Unaogopwa utatangazwa hilooo na visheria vyake ngoja viundiwe tume kwanza.
 
Du rafiki hapo umechemka.
Hata Mungu katika uumbaji wake, aliona si vema Adamu akae peke yake, akamtafutia mwenzi wake Eva/Hawa. Tena pengine akasema, zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi, mkatawale wanyama, ndege, samaki nk. Bila ubavu ndugu useless. Na je care, love na affection na biological need which is our nature nayo utaipata wapi?
Mwisho wa siku ukishikilia hizo faida zako utapata depression bureee. Inakuwajeee
Rethink my friend. Mwenza mtamu bwana asikwambie mtu
 
Back
Top Bottom