Fahamu ukweli kuhusu kuzimu na mbinguni

V101

Member
Apr 29, 2016
12
3
Fungua usome pdf file hapo chini
 

Attachments

  • swahili_marybaxter_divinerevelationofhell.pdf
    677.5 KB · Views: 232
Hicho kitabu kinazungumzia Jehanamu na siyo kuzimu, watu mnachanganya Sana, kuzimu inaitwa -hades au abyss Kwa kiingereza, Jehanamu ndo inaitwa hell, kuzimu hakuna moto, ni makazi ya Shetani na mapepo tu.
Jehanamu ndo kuna moto.
muwe mnasoma lugha kwanza za watu kabla ya kuweka topic Kwa kujiamini .
 
Hicho kitabu kinazungumzia Jehanamu na siyo kuzimu, watu mnachanganya Sana, kuzimu inaitwa -hades au abyss Kwa kiingereza, Jehanamu ndo inaitwa hell, kuzimu hakuna moto, ni makazi ya Shetani na mapepo tu.
Jehanamu ndo kuna moto.
muwe mnasoma lugha kwanza za watu kabla ya kuweka topic Kwa kujiamini .
Kuzimu kuna moto pia na si makazi ya Shetani na mapepo tu bali ni sehemu ambayo roho zote zilizokufa katika dhambi hufikia. Hapa ni sehemu ya mateso Shetani huzitesa roho zote zilizokufa katika dhambi kabla haijaja ile siku ya hukumu aliyoiweka Mungu. Katika siku hiyo Shetani na pepo wote pamoja na
roho zote zilizokufa katika dhambi zitatupwa kwenye Jehanam ya moto.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom