Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,940
Waswahili wengi hufikiri kwamba hakuna maana halisi ya computer na badala yake wanatohoa neno hilohilo nakuandika "Kompyuta". Hivyo ni makosa maana halisi ya Computer ni neno "NGAMIZI" na kwa laptop computer huitwa "NGAMIZI PAKATWA" Source: Ulimwengu wa kiswahili TBC1, Nawasilisha.