drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Una nguvu na wengi umewasaidia chukua ule wa magamba usage kwenye blender ile ya kusagia viungo then upime kijiko kizima cha chai halafu weka maji kwenye kikombe kidogo cha chai weka na asali vijiko viwili vikubwa kama ikiwa ya maziwa pia ni nzuri kunywa utaona mabadiliko
hongera sana kwa kazi njema