BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Hahahahaha lol!!!! Umenikumbusha dada mmoja hapa aliwahi kuandika kwamba asali pia hutumika katika lile tendo linaloitwa "tendo la ndoa" na jinsi ilivyo bomba na kuongeza utamu wa tendo yeye nyumbani kwake hakosi asali hata siku moja. Kesho yake wauza asali wote Dar walipandisha bei ya asali na miezi miwili asali ikaadimika sana MUJINI.
CC: Nyamayao
CC: Nyamayao
Ukitaka kuwapata Wabongo wengi watajie hapo kwenye bold nyekundu utaona hata bei ya asali kwenye soko itapanda. Maana tunapenda hiyo kitu kupita kiasi na ndio maana mabango ya waganga wa kienyeji yamekuwa yakilenga hiyo kitu.
Last edited by a moderator: