Fadhila za Muungano kwa Zanzibar

Ukubwa wa nchi mzee ni ukubwa wa kiuchumi na nguvu ya kijeshi na sio ukubwa wa eneo tu!!! Japan ni kijisiwa kidogo hakifiki hata 1/3 ya china but kinajulikana kama ni moja za nchi zenye nguvu kubwa ya kiuchumi na kijeshi wewe vipi mbona unatoka mapovu!!!!. Ingelikuwa hivyo mzee Brazil ina eneo kubwa kuliko England na Japan. Mataifa makubwa duniani yangelikuwa ni China, Marekani, Brazil, Congo, na Australia acha kufuka mzee!!!

Unataka kuniambia hufahamu tu wazanzibar wanataka nini!!! wanataka chao na uhuru wao!!! Kama muungano uwapo lakini kila mmoja na maamuzi yake na sio sasa hivi. Ikishindikana muungano uvunjike hauna faida kwa wazanzibari!!!


Chao nini? ni ubinafsi tu umewajaa hakuna jingine,,Nazungumzia ukubwa wa TANGANYIKA na mahitaji yake, huwezi linganisha mahitaji let say ya barabara kati ya tanganika na zanzibar, ndio nchi ni maskini na hata kama ni msaada hauwezi gawa sawa kwani misaada mingine inatolewa specific kulenga maeneo fulani, TATIZO LENU HAMJUI MNACHOKITAKA UBINAFSI NA UVIVU TU NDO UMEWAJAA, kuwa na mtazamo chanya siku mijitawala hakutakuwa na nchi inayoitwa zanzibar hilo nakuhakikishia
 
Chao nini? ni ubinafsi tu umewajaa hakuna jingine,,Nazungumzia ukubwa wa TANGANYIKA na mahitaji yake, huwezi linganisha mahitaji let say ya barabara kati ya tanganika na zanzibar, ndio nchi ni maskini na hata kama ni msaada hauwezi gawa sawa kwani misaada mingine inatolewa specific kulenga maeneo fulani, TATIZO LENU HAMJUI MNACHOKITAKA UBINAFSI NA UVIVU TU NDO UMEWAJAA, kuwa na mtazamo chanya siku mijitawala hakutakuwa na nchi inayoitwa zanzibar hilo nakuhakikishia

Ubinafsi tafsiri unayotumia wewe sidhani kama ni sahihi. Je ubinafsi ni kuchangia kingi halafu ukapewa kidogo?? Ubinafsi wewe hufanyi kazi halafu ukalipwa hela??? Tupeni statistics basi Tanganyika ilizalisha kwa kiwango gani Katani, Kahawa!!! Tujue mlichangia kiasi gani katika uchumi wa nchi? Nyie mlikuwa mnachukua hela za zanzibar mkazitia katika uchumi Tanzania eti ujamaa Slogan halafu mnagawa sawa asiyefanya kazi apate sawa na anayefanya kazi ndio haki hiyo!!! Sasa nani mbinafsi na mvivu ni Zanzibar au Tanganyika???

Sijapata facts bado za kiwango Tanganyika ilikuwa ikijitegemea kiuchumi but zanzibar ilikuwa inajitegemea kiuchumi hadi kabla ya 1979s. Baada hapo Nyerere alipoona kuwa ameingia katika vita na ikamgharimu pesa akaja na slogan ya kufunga mkanda kama hata ulikuwapo kipindi hicho
Sasa nikuuleze wewe nyerere alipata wapi pesa za kuendesha nchi kwani aliikataa misaada ya IMF??? Tupe majibu mzee usitoke mapovu tu!!!!.

Unasema zanzibar ikiachiwa huru haitajitawala je Zanzibar mlijaribu kuwaachia mkaona hawawezi kujitawala !!!! Acha rhetorical statements zako mkubwa Wavivu ni Tanganyika, Wadhulumu ni Tanganyika na bado Mnatutisha but yana mwisho wake mzee
 
Mbona watu hamuishi kugombana juu ya muungano? Zanzibar siyo sehemu ya muungano, bali ni sehemu ya Tanganyika...ukiangalia ramani kwa makini utagundua kuwa kisiwa cha zanzibar kilichomoka toka Bagamoyo.
pia ukirejea kwenye historia, ni kwamba waarabu walikuwa wanakusanya vijana na warembo toka bara na kuwasafirisha hadi zenji, pale zenji ndio lilikuwa soko, vijana wenye nguvu walikuwa wananunuliwa,regerege/ maserule/wagonjwa walikuwa rejected na kuachwa zenji, kuna vijana wachache wenye nguvu waliachwa pale kama manyapara...pia warembo waliochukuliwa toka bara wengi walibakwa na waarabu na kutoa hybride( waunguja).
Wazenji asili wengi waliuzwa mapema kabisa, nani angehangaika kuja bara kutafuta watu kama hapo sokoni wange kuwepo? so utakuta waunguja wengi niwa nusubara..wapemba wengi in illegal immigrants hata kwenye muungano wetu wapo kama favor.....hawa kwao Oman.Tukiongelea muungano wao watulize ball.
Mafuta yoyote yaliyopo Tanzania ( iwe bara au visiwana) niya Tanzania. Hakuna kampuni yoyote itakayotia mguu bila indhini ya sirikali ya Tanzania...otherwise tutamwaga wakurya kule...Pamoja na hayo wazenji wana haki ya kulalamika kama ambavyo wabongo wote tunavyo lalamika...Tatizo siyo muungano, ila hatuna viongozi wenye sifa, hilo tatizo si bara tu hata zenji lipo, zenji ina serikali,wizara, bunge so kama ingekuwa makini wangekuwa mbali, kama na mikoa yote (bara) ingepewa madaraka kujipangia mambo yao kama ilivyo kwa zenji huenda mingine ingekuwa mbali kimaendeleo kuliko sasa kutokana na urasimu serikali na bunge la muungano....mikoa yetu ni venerable, uzembe wa waziri unaweza affect the whole country, but zenji, kuna buffer ambayo viongozi wake wameshindwa itumia, ili kukwepa lawama wanautumia muungano kama bangusilo kuficha weakness zao....
 
Mbona watu hamuishi kugombana juu ya muungano? Zanzibar siyo sehemu ya muungano, bali ni sehemu ya Tanganyika...ukiangalia ramani kwa makini utagundua kuwa kisiwa cha zanzibar kilichomoka toka Bagamoyo.
pia ukirejea kwenye historia, ni kwamba waarabu walikuwa wanakusanya vijana na warembo toka bara na kuwasafirisha hadi zenji, pale zenji ndio lilikuwa soko, vijana wenye nguvu walikuwa wananunuliwa,regerege/ maserule/wagonjwa walikuwa rejected na kuachwa zenji, kuna vijana wachache wenye nguvu waliachwa pale kama manyapara...pia warembo waliochukuliwa toka bara wengi walibakwa na waarabu na kutoa hybride( waunguja).
Wazenji asili wengi waliuzwa mapema kabisa, nani angehangaika kuja bara kutafuta watu kama hapo sokoni wange kuwepo? so utakuta waunguja wengi niwa nusubara..wapemba wengi in illegal immigrants hata kwenye muungano wetu wapo kama favor.....hawa kwao Oman.Tukiongelea muungano wao watulize ball.
Mafuta yoyote yaliyopo Tanzania ( iwe bara au visiwana) niya Tanzania. Hakuna kampuni yoyote itakayotia mguu bila indhini ya sirikali ya Tanzania...otherwise tutamwaga wakurya kule...Pamoja na hayo wazenji wana haki ya kulalamika kama ambavyo wabongo wote tunavyo lalamika...Tatizo siyo muungano, ila hatuna viongozi wenye sifa, hilo tatizo si bara tu hata zenji lipo, zenji ina serikali,wizara, bunge so kama ingekuwa makini wangekuwa mbali, kama na mikoa yote (bara) ingepewa madaraka kujipangia mambo yao kama ilivyo kwa zenji huenda mingine ingekuwa mbali kimaendeleo kuliko sasa kutokana na urasimu serikali na bunge la muungano....mikoa yetu ni venerable, uzembe wa waziri unaweza affect the whole country, but zenji, kuna buffer ambayo viongozi wake wameshindwa itumia, ili kukwepa lawama wanautumia muungano kama bangusilo kuficha weakness zao....

Rubbish but angalau umesema lililo moyoni mwako!!!
 
...Tatizo siyo muungano, ila hatuna viongozi wenye sifa, hilo tatizo si bara tu hata zenji lipo
Zungumzia huko huko kwenu Tabora, Zanzibar tunao viongozi tunaowaamini kutuendeshea jahazi letu.Kama si nyinyi kuwaweka madarakani waongeze Zenji wasingekuwepo.

Hivyo uongozi mbovu wote wa Zanzibar umesababishwa na muungano au Tanganyika kwa mtazamo mwengine.Au hujuwi kama report zote za uchaguzi zinaonesha demokrasia kupindwa na CCM Zanzibar kuingia madarakani kwa mgongo wenu?...Somar Internation Observers reports, halafu utapata evidence ya kuwa viongozi wa Zanzibar hawajaingia madarakani kwa njia halali ya demokrasia.

Tukirudi kwenye uongozi mbovu Tanganyika, mie naona nyinyi ni masikini by nature...hata mulipompata huyo Nyerere ambae munamsifia kuwa ni kiongozi mzuri...mulikuwa hivyo hivyo masikini fukara!

Hii ni sababu moja ya wazenji kutaka kuvunja muungano, maana tokea mulipoanza kuwakumbatia nchi yao imeanza nayo kukolezwa umasikini!:cool:
 
Waungwana kuna mtu ana data za BOT na Zanzibar Central Bank walianza na capital base kiasi gani??? Kuna data nilikuwa nazitegemea but naona imeshindikana waungwana wameweka vikwazo kuzipata hizo data ili tuzichambue kuangalia fadhila za muungano wa zanzibar na Tanzania Bara.
 
Mleta hoja nafikiri ni Duyusi aliyekubuhu, anasema fazila za Mungano sasa aliyefaziliwa ni nani? usizungumze usiyo yajuwa huo mungano hata wakati wa marehemu karuma miaka michache tu ulikuwa upo tayari kuvunjika na kwa zaidi hata hao wasisi wawili hawakuzungumza kwa mwaka mzima wa mwisho wa maisha ya mzee karume kutokana na mbinu za chafu za ujanja wa nyerere .
 
..wakati Karafuu iko juu Zenj, huku Tanganyika mazao ya Kahawa na Katani yalikuwa juu pia.

..hakuna wakati wowote ule ambapo wa-Tanganyika tumeishi kwa fadhila ya Zenj.
 
Bila shaka Muungano una matatizo yake na kujadiliwa ni jambo zuri ila inafaa kujiepusha kukashifiana. WaTz bara na visiwani ni ndugu tuliokwishachanganya damu. Binafsi sioni kuvunja muungano ni option na pia sioni dalili zozote zinazoonyesha siku moja muungano utavunjika. Hivyo ni busara kuweka jitihada kwenye kujadili njia za kuboresha muungano.
Zogo ninalojitokeza kwenye mijadala ya muungano lina one common denominator kuwa wananchi wako frustrated na hali ya maisha yao.
Consensus zinaonyesha kuwa CCM Bara inatia mkono kwenye uchaguzi wa vongozi huko Znz na hiyo kusababisha watu wa Znz kuchukia chochote ninachonukia muungano. Vile vile ni muhimu watu WaZnz kufahamu na kutafautisha baina ya maamuzi yanayotolewa na CCM bara na wananchi ambao wao wenyewe wamechoshwa na uwajibikaji wa CCM.

¬K
 
Waungwana kuna mtu ana data za BOT na Zanzibar Central Bank walianza na capital base kiasi gani??? Kuna data nilikuwa nazitegemea but naona imeshindikana waungwana wameweka vikwazo kuzipata hizo data ili tuzichambue kuangalia fadhila za muungano wa zanzibar na Tanzania Bara.

Sisi watu wa Bara tutazipata wapi hizo? Nyingi alikufa nazo Balali. Tuletee wewe hizo kopi zilipo Zanzibar. Ikiwezekana tuletee na Kopi za Hati ya Muungano maana nasikia Orijino haionekani. Pamoja na maelezo yako murua ukiondoa lile la kuita mtu asiyekubaliana na wewe 'rubbish' inabidi ukubaliane na wale wengine waliosema Muungano umebaki kwa Viongozi tu tena wa CCM. Hawa viongozi wa CCM (Zanzibar na Bara) kila mmoja anamtegemea mwenzake ndio maana ikifika hatua fulani ya Muungano wananyamaza kimya na kutuacha siye wananchi tunatofuana macho. Huyo Karume aliingia kwnye madaraka ya Uraisi kwa nguvu ya Bara na hata huyu Muungwana wetu naye aliingia huko kwa nguvu ya Karume. Rejea ishu za Salim Salim, Ali Karume, Daruweshi na wengine.

Suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mbona Wamarekani wamekwishaliweka wazi kwamba wao ndio walichangia kwa kiasi kikubwa kuziunganisha nchi hizi mbili. (Ofkoz hapa unaweza kusema ni kwa ujinga wa Karume na werevu wa Nyerere au Ujinga wa Nyerere na werevu wa Katume) Wapo viongozi kule Zanzibar walionekana kwenye macho ya wamarekani walitaka kuifanya Zanzibar kuwa Cuba ya Africa, miongozi mwao nadhani ni Marehemu Abdulrahaman Babu. Kumbuka wiki mbili kabla ya muungano wetu Mwalimu alikuwa anaongea Muungano wa Afrika Mashariki na mwalimu alishamtuma Kambona Nairobi kumwambia Kenyatta yeye yuko radhi kumuachia Uraisi wa EA. Baada ya wiki tukaisikia mmeletwa huku. Waungwana wenye muda tutatufutieni zile nyaraka za Muungano kwenye Tovuti ya Serikali ya Marekani, ziko wazi.

Narudia tena wananchi (mimi wa bara na wewe wa Zenji) tushauchoka muungano, labda tukiongea lugha inayofanana siku moja tunaweza kuwataka viongozi wetu wavunje Muungano. Lakini kwa hili! Nkodo!!! Kidole changu cha kati nimeshika chini ya jicho!
 
Zanzibar inaweza kuwa nchi kamili ikitaka kwani kuna nchi ndogo kuliko Zanzibar ambazo zinajitegemea kabisa k.m Mauritius na Sycheles ambazo ni stable. Malalamiko ya hizo hela za misaada zinstrings zake na wafadhili huelekeza ni wapi amako wanataka pesa zao zitumike. Sasa hizo data zichanganue zaidi, kama nchi hii ilitoa kiasi gani kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar na Hazina ya Muungano ikazikalia au kuzitumia vinginevyo. Kama ilivyo kwa sasa ni takwimu za kijumla mno.
 
masai-znz-300x225.jpg

Scientists including Pinda, just discovered that Global warming it means more Masais in the Isles :cool:
Zanzibar kweli itasaga mawe ukivunjika muungano?
 
Back
Top Bottom