Isipokuwa kutokwa na damu tu, kila kitu kinachokutoka mwilini unajisia starehe flan iv. Kutoa mbegu za uzazi, kutoa nyesi, kutoa kojo, kutolewa chunusi, kutoa jasho wakati wa mazoezi, kutoa machozi ya furaha, kutoa denda.
kutolewa funza nayo ina raha?
Isipokuwa kutokwa na damu tu, kila kitu kinachokutoka mwilini unajisia starehe flan iv. Kutoa mbegu za uzazi, kutoa nyesi, kutoa kojo, kutolewa chunusi, kutoa jasho wakati wa mazoezi, kutoa machozi ya furaha, kutoa denda.
ama kweli we ni mtoto wa mjini!
Ila kuna ka ukweli kwenye hii thread
ushawahi kumuuliza mtu anayetokwa roho anavyojisikia?