Fact ya leo

Wajad

JF-Expert Member
Jul 20, 2012
1,321
604
Isipokuwa kutokwa na damu tu, kila kitu kinachokutoka mwilini unajisia starehe flan iv. Kutoa mbegu za uzazi, kutoa nyesi, kutoa kojo, kutolewa chunusi, kutoa jasho wakati wa mazoezi, kutoa machozi ya furaha, kutoa denda.
 
Isipokuwa kutokwa na damu tu, kila kitu kinachokutoka mwilini unajisia starehe flan iv. Kutoa mbegu za uzazi, kutoa nyesi, kutoa kojo, kutolewa chunusi, kutoa jasho wakati wa mazoezi, kutoa machozi ya furaha, kutoa denda.

Lakini ukumbuke kuwa kuna baadhi ya yafanyikayo hapo juu huweza ambatana na damu!!!
Agh;mkojo,kinyesi,chunusi,
na hata Masiya alitoa jasho lenye matone ya damu.
 
Isipokuwa kutokwa na damu tu, kila kitu kinachokutoka mwilini unajisia starehe flan iv. Kutoa mbegu za uzazi, kutoa nyesi, kutoa kojo, kutolewa chunusi, kutoa jasho wakati wa mazoezi, kutoa machozi ya furaha, kutoa denda.

ushawahi kumuuliza mtu anayetokwa roho anavyojisikia?
 
watu8 mkwe umeniacha hoi eti kama ashawahi kumuuliza mtu anayetokwa roho
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana mnaambiwa kinachomtoka mtu ndicho kinachoweza mtia unajisi na si kimuingiacho au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom