BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
- Thread starter
- #41
Hahahaaaaaaa ngoja nicheke kwanza hao kwenye bold.....
Dah sawa hebu baadae mchana hivi msaidie basi kuweka bayana nia yetu ya kumsaidia huyu dogo....
Vivian anapata sana shida Kuwa single ila atafanyaje wote wanamuogopa!
We andaa mkakati na kikiwa tayari kirushe tu faster...
leo mmejitahidi kuzungumza mambo ya msingi...kweli ukubwa ni dawa...so far mm nifanye nn?au niwasikilizie wakuu wangu wa kazi sio?