hiyo ni fact tafadhali...tusije tukakamatana mashati hapa...LOL
jpili njema GTs
Weka picha!
ngoja nipige fasta!..
Weka picha!
Labda wanaume wa kabila la Wahazabe ndiyo hiyo fact inawahusu.
lol...so gross? teheee...ndo ivo bana matokeo hayo hatuwezi kuyapinga...Ericky inamuhusu hii sio?
nyingine si mtaongezea bana!..au?kwan vidume si tuko wengi humu asee!
haya bana tumejua unajenga, hongera ! Mbezi Beach au Masaki !?Eee bwana umesha confirm kua unaondoka leo ?
Kama itakua mchana ndiyo depature, ratiba itakua imenitata, kwakua coz niko site , nasimamia uendeshaji na mafundi wangu wezi kisenzi ! Ukila kona tu, wao wanapona ! Mifuko miwili mi3 ya cement kwao ni kama kupaka slesi siagi .
Eee bwana umesha confirm kua unaondoka leo ?
Kama itakua mchana ndiyo depature, ratiba itakua imenitata, kwakua coz niko site , nasimamia uendeshaji na mafundi wangu wezi kisenzi ! Ukila kona tu, wao wanapona ! Mifuko miwili mi3 ya cement kwao ni kama kupaka slesi siagi .