MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Cha ajabu nikwamba nami bila kuuma ulimi)
Maneno yoooote yanaosemwa kuhusu udini yameanzishwa na wenye chuki na Chadema na hasa waliogopa nguvu ya Dr. Slaa.
Kwa vile Dr. alikuwa Mkristu, na alishikla nyadhifa za juu katika kanisa kubwa duniani, walitaka kumdhoofisha kwa kutumia sheria ya kanisa hilo, jambo ambalo halikuleta mabadiliko yoyote kwa maendeleo ya CDM.
Meseji za uzushi zilitumwa na watu wa ngazi za juu kuchochea maada ya udini lakini wapi wa TZ hawakusikia lolote. Dr. Akashamiri.
Ila Ukweli ni kwamba Ndani ya CCM wamelizana na wao wenyewe wakatoa siiri zao kumpa mtu mwenye nguvu Dr. Slaa. Mbowe Boss wake Slaa hakuwa na nguvu ya aina ya Dr. na ndiyo maana Kaitwa Dr. wa ukweli. kifupi CCM pamoja na wewe woooooote ndo mano huo U ANTI- SLAA NA MANJIFICHA KWENYE UKRISTO KUMWEKA SLAA.
wengine walisema eti bado ni Padre, wengine eti askofu hadi magazeti ya Dhehebu hilo yakachapisha wazi wazi, lakini hayakuchukuliwa hatua, ingekuwa wao je, si tungeleta mtafaruku mkubwa.
Kwa kifupi nimesali makanisani hasa lile la Dr. Ilipigwa marufuku kumzungumzia mtu huyo kabisa na hawakusema lolote maana waumini wakle wengi wakiingia hadi na kofia za JK kanisani. utasemaje padri!!!!
CCM NA VIBARAKA WAO ACHENI KUIVURUGA CDM
Maneno yoooote yanaosemwa kuhusu udini yameanzishwa na wenye chuki na Chadema na hasa waliogopa nguvu ya Dr. Slaa.
Kwa vile Dr. alikuwa Mkristu, na alishikla nyadhifa za juu katika kanisa kubwa duniani, walitaka kumdhoofisha kwa kutumia sheria ya kanisa hilo, jambo ambalo halikuleta mabadiliko yoyote kwa maendeleo ya CDM.
Meseji za uzushi zilitumwa na watu wa ngazi za juu kuchochea maada ya udini lakini wapi wa TZ hawakusikia lolote. Dr. Akashamiri.
Ila Ukweli ni kwamba Ndani ya CCM wamelizana na wao wenyewe wakatoa siiri zao kumpa mtu mwenye nguvu Dr. Slaa. Mbowe Boss wake Slaa hakuwa na nguvu ya aina ya Dr. na ndiyo maana Kaitwa Dr. wa ukweli. kifupi CCM pamoja na wewe woooooote ndo mano huo U ANTI- SLAA NA MANJIFICHA KWENYE UKRISTO KUMWEKA SLAA.
wengine walisema eti bado ni Padre, wengine eti askofu hadi magazeti ya Dhehebu hilo yakachapisha wazi wazi, lakini hayakuchukuliwa hatua, ingekuwa wao je, si tungeleta mtafaruku mkubwa.
Kwa kifupi nimesali makanisani hasa lile la Dr. Ilipigwa marufuku kumzungumzia mtu huyo kabisa na hawakusema lolote maana waumini wakle wengi wakiingia hadi na kofia za JK kanisani. utasemaje padri!!!!
CCM NA VIBARAKA WAO ACHENI KUIVURUGA CDM
Kabla ya kanisa kutoa waraka, Waislam si nao walitoa waraka wao?
Mbona husemi effect yake kwenye uchaguzi?