Facebook

Naona wanaopata faida na hii kitu ni wanaume.
Kwa watoto wa kike naona disadvantages ni nyingi kuliko faida.


Personaly, sijawahi kujiunga na hii kitu ila nawaona vijana wanavyo'complicate mambo na hiyo facebook.

Mkuu wanaume wanafaidika vipi na mabinti wanaathirika vipi?
 
FB ina faida sana! Na-organise meeting, events, na vitu kibao throught FB...yaani naendesha a social club nzima! Pia kama txt messages zimeisha au sitaki kutumia pesa...namgonga mtu kwenye FB mara moja...tunakutana! I love it! Inarahisisha maisha ya chuo sana!
 
nimefaidika kukutana na marafiki zangu tuliopotezana tokea tuko primary.

nimefaidika na kuendelea ku-keep in touch kwa urahisi na marafiki zangu wengine ambao sasa tunaishi nchi tofauti

nimeifadika ku-keep in touch kwa karibu zaidi na jamaa zangu ambao tunakaa mbali

nimeifaidika na 'umbea' wa hapa na pale hasa ule unaotokea Tz mimi nikiwa nje ya nchi ( it helped to kill time and not be akward in conversations pale unapokutana na wahusika...................mfano kumuuliza mtu bf wako fulani hajambo kumbe alishapigwa buti kitambo na watu wote wanajua ila wewe ulie nje ya nchi ...hehehe)

Ha ha ha ha ha ha!
 
jiunge its FREE!
ukiona haina faida yoyote kwako...unaiacha!

faida kwangu ni kukeep in touch na marafiki na jamaa,ambao wengine ni kitambo tangia tuachane nao,,,,which comes FREE of charge sio kama simu mpk ulipie n-k
faida nyengine ni kupata updates ya umbea na mashauzi ya watu....:twitch:
 
Hivi Face Book ni kitabu gani hicho? Ni kwaajili ya urembo au? Unajiunga au unakinunua?
 
binafsi naitumia kubadiri tabia mbaya za wanadamu na kupanda utu wema mwao
ni kwa wale wanaoona zinawafaa, na wanahiali kuamua kuachana na mambo mabaya,
hapa kwa muislamu kwanza na anayejiita mkristo pia, sote tupendane kwa utu na nidhamu
karibu unaweza kufaidi usivyowaho kuvijua, hakuna sadaka wala kuvua viatu mlangoni
 
facebook is the cheapest means of communication and sharing informations....naweza chat na masela wangu wa bongo kama watano kwa wakati mmoja na pia kukutana na marafiki zangu wa nursery,primary hadi chuo na kazini tuliopotezana miaka 20 iliyopita....!:A S tongue:
 
Faida ni kidogo kuliko harasa, kama tegemeo lako umejiunga FB kwaajili ya ku-reconnect with old friends and establish networking basi hiyo ni faida. Hasara pale unapokua addicted and obsessive with it, Fikiria kuna watu wana-post status kila baada ya dakika 30 ujue sasa ni ugonjwa na Ikitishia mapenzi yako na mkeo,mumeo na mchumba wako hapo ni issue. :twitch:
 
Naona wanaopata faida na hii kitu ni wanaume.
Kwa watoto wa kike naona disadvantages ni nyingi kuliko faida.

Personaly, sijawahi kujiunga na hii kitu ila nawaona vijana wanavyo'complicate mambo na hiyo facebook.
Unawaonaje mkuu?
:A S 39:
 
FB imeleta maumivu mengi kwa baadhi ya watu.
Ushauri wa bure, kwa wale ambao wana wenza wasiokuwa na uelewa na haya mambo ya mitandao ya kijamii, Usimweke mkeo/mumeo/mchumba kwenye FB maana inaweza kuwa mwanzo wa migogoro.Tandaa na marafiki wa kawaida na ndugu zako kama baba, mama, kaka, dada, watoto, shangazi, wajomba. Pia tandaa na marafiki zako wa kikazi, kibiashara nk.Epuka kukubali kuingiza watu usiowajua wawe kwenye list YA MARAFIKI Zako.Tumia nyenzo za usalama wako kama vile kuzuia watu usiowafahamu ku access your pictures na taarifa zako muhimu kwenye FB.Ukitaka usalama zaidi tumia jina tofauti ambalo watu wanalifahamu au kulizoea maana ni rahisi watu ku search jina lako na kukupata.
 
I use Facebook to stay in touch with friends and meet new people.
I use Facebook to read and share interesting articles.
 
Face book inafaida nyingi kuliko hasara, Kwani kama mimi imenisadia kukutana watu niliosoma nao kitambo na sasa ninawasiliana nao na pia mambo yangu yanapokwama ninajua nimuone nani na wapi. So kupitia FB nina network kubwaq kama jershi la osama.
 
Kuna jamaa yangu alichukua break from facebook kwa miezi kadhaa sasa matokeo yake kasahau birthday ya fiancee wake ikawa mzozo kweli..
Kwa sie tuonasahau vijimambo kama hivyo at least FB has strong reminder on those kind of occasions..
 
Back
Top Bottom