facebook....

rebeca

Senior Member
Dec 18, 2011
190
27
jamani facebook ina matatizo gani au wamehack accounts zangu,embu jaribuni kwenu inapatikana????
 
Backy na sredi zako bana

nimeona umenitolea nje mkopo sawa bwana,nimepata mtu ananikopesha,ila next time nikiwa na shida..naku Pm raisi wa wabeba boksi.....halafu mbona mimi nabeba boksi hela siioni??? naumia tu mgongo?lol
 
nimeona umenitolea nje mkopo sawa bwana,nimepata mtu ananikopesha,ila next time nikiwa na shida..naku Pm raisi wa wabeba boksi.....halafu mbona mimi nabeba boksi hela siioni??? naumia tu mgongo?lol

Wasiliana nami nikupe shavu...
 
Wako katika mgomo wa sheria inayotaka kuanzishwa Umarekani. Kama Wikipedia.
 
Back
Top Bottom