Backy na sredi zako bana
Angalia sasa, mambo ya fb unaleta Jf!!! Kaulizie kule kule fb!
peke yako@rebecca
nimeona umenitolea nje mkopo sawa bwana,nimepata mtu ananikopesha,ila next time nikiwa na shida..naku Pm raisi wa wabeba boksi.....halafu mbona mimi nabeba boksi hela siioni??? naumia tu mgongo?lol
Labda hujalipia, wanacharge siku hizi.
Labda hujalipia, wanacharge siku hizi.
utani wa ngumi huo Lizzy.
Unasema kweli?
nini itakuwa tatizo jamani,nikifungua inakuja white blank page....kwa accounts zote tatu ni hivyo hivyo.....mnh
ngoja nikupe link..@rebecca
Wako katika mgomo wa sheria inayotaka kuanzishwa Umarekani. Kama Wikipedia.
Account tatu zote zako?Mx