Facebook: Wenzangu huwa mnajifunza nini kule?

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
watumiaji wa facebook, naomba mnisaidie la kujifunza kule facebook, maana mwenzenu kila ninapo log in huwa nakutana na picha na vijisalamu salamu vya hi1, babie, sweethaert na picha za kuvutia na kingono ngono tu hasa kwa mabinti 'wabichi wabichi'.

Huwa natami kukuta labda forum inayoongelea mambo ya 'maana' mf uchumi, elimu nk lakini huwa sioni zaidi ya hivyo vimeseji/post za umependeza, u look glamorous ne mengine.

Pengine ni ushamba wangu, basi naomba mnielekeze kwa kufungua ili nikutane na 'educative or informative issue' za kibongo na nyingine za ughaibuni. Kwa sababu ya 'ushamba' wangu huu huwa nakaa miezi mingi bila ku log in kule.

Tafadhali nisaidieni
 
Si muda wote unatakiwa kujifunza mkuu, sometimes kuchati na warembo kunahitajika. sasa wewe unataka muda wote mambo ya CCM, CHADEMA, mara kafulila. pole sana nyie ndio muda wote mnazungumzia mambo ya kazini hata kama mko na wake zenu
 
watumiaji wa facebook, naomba mnisaidie la kujifunza kule facebook, maana mwenzenu kila ninapo log in huwa nakutana na picha na vijisalamu salamu vya hi1, babie, sweethaert na picha za kuvutia na kingono ngono tu hasa kwa mabinti 'wabichi wabichi'.

Huwa natami kukuta labda forum inayoongelea mambo ya 'maana' mf uchumi, elimu nk lakini huwa sioni zaidi ya hivyo vimeseji/post za umependeza, u look glamorous ne mengine.

Pengine ni ushamba wangu, basi naomba mnielekeze kwa kufungua ili nikutane na 'educative or informative issue' za kibongo na nyingine za ughaibuni. Kwa sababu ya 'ushamba' wangu huu huwa nakaa miezi mingi bila ku log in kule.

Tafadhali nisaidieni

sa wewe unajidai kuweka izo alama funga semi ili kujitoa kwenye ushamba wakat ni kWELI Mshamba?sio muda wote kujifunza kuna time ya kusocialize kama unaona huna cha kufanya basi ushapitwa na wakati usilazimishe au nenda ka renew urudi ujana!hala jipange mtu mzima wewe!xmas njema !
 
Yaelekea wewe:-
- ulipitia jkt
- ulicheza tanu youth league
- ulipiga kura enzi ya ndio au hapana


yaani ni mtu mzima. Kule ni kwa watoto na watu wazima ambao "wanaenda na wakati"
hata mi simo huko
 
watumiaji wa facebook, naomba mnisaidie la kujifunza kule facebook, maana mwenzenu kila ninapo log in huwa nakutana na picha na vijisalamu salamu vya hi1, babie, sweethaert na picha za kuvutia na kingono ngono tu hasa kwa mabinti 'wabichi wabichi'.

Huwa natami kukuta labda forum inayoongelea mambo ya 'maana' mf uchumi, elimu nk lakini huwa sioni zaidi ya hivyo vimeseji/post za umependeza, u look glamorous ne mengine.

Pengine ni ushamba wangu, basi naomba mnielekeze kwa kufungua ili nikutane na 'educative or informative issue' za kibongo na nyingine za ughaibuni. Kwa sababu ya 'ushamba' wangu huu huwa nakaa miezi mingi bila ku log in kule.

Tafadhali nisaidieni

hamna kitu kule
 
Kwa jina lingine panaitwa mabondeni..ukienda kule lazima ukumbwe na mafuriko ya mabinti wanaojiuza..
 
kila kitu kina madhara na faida inategemea na jinsi unavyokitumia,.mtoa mada ana-sugest kuwa zaid ya watu 800mil dunian ambayo ni idadi ya watu wanaotumia facebook ni malaya na hawana akili, facebook yenye thaman ya 80bil dollars haina mana, makampuni makubwa na mbalimbali dunian kwa kujitangaza kupitia fb nao wanatumia makalio kufikiria.
Be a great thinker and not a narrow thinke like u r now.
 
Watu wengi humu JF ni wanafki wakubwa,mnatumia facebook mkija huku mnaiponda,
kila mtandao unategemea na matumizi ya wahusika wenyewe,kama kule kuna watoto humu pia
kuna wanafunzi,Facebook ni popular site na kule ni rahisi kumpata uliyempoteza,
public figure wapo kibao,watu mnaponda facebook huo ni unafki wakati huwa mpaka mnaleta posts
za watu maarufu au walichoandika facebook mnaileta humu JF kudiscuss,tuache unafki mwingine usio na mana.
 
kila kitu kina madhara na faida inategemea na jinsi unavyokitumia,.mtoa mada ana-sugest kuwa zaid ya watu 800mil dunian ambayo ni idadi ya watu wanaotumia facebook ni malaya na hawana akili, facebook yenye thaman ya 80bil dollars haina mana, makampuni makubwa na mbalimbali dunian kwa kujitangaza kupitia fb nao wanatumia makalio kufikiria.
Be a great thinker and not a narrow thinke like u r now.

....KP umetoa maelezo mazuri sana. Inashangaza watu wanaojitambulisha kama Great thinkers wanashindwa kutofautisha Fb na Jamii forums. Mtoa mada analalamika hajakutana na jukwaa la uchumi FB, anachokutana nacho ni salamu za Hi na icha za kingonono ngono; Mosi, kama mtoa mada hana account FB anaingia kufanya nini? hawandio kundi la watu wanaojifanya kuponda FB wakati kila asubuhi wanaingia na kuandika majina ya watu kwenye sehemu ya search na kuanza kuangalia wameweka picha gani na wana post nini? wanaopost FB wanafanya hivyo kwa rafiki zao au contact list yake...wanaopaswa kulalamika ni hao rafiki zake (kama kua uhalali wa kufanya hivyo).

Watu wengi hapa JF wanaponda sana JF kitu ambacho binafsi naona ni udhaifu mkubwa wa kufikiri. kama kuna utot, ujinga, umalaya nk ..ni kielelezo cha jamii yetu; tunapaswa kujadili hilo na sio kuibeza FB kwasababu hakuna anayeweza kubisha nguvu ya FB katika nyanja ya mawasiliano (inajidhihirisha na idadi kubwa ya watumiaji duniani, Uimara wa kibiashara, na msururu wa watu maarufu na muhimu duniani, makampuni nk ambao ni watumiaji wa FB). Tazama link hapo chini upate kujua Mark Zuckerberg (Founder wa facebook, yuko namba ngapi katika orodha ya World Most powerful men). Na pia tusisahau hata humu \JF kila siku kuna watu wanapost vitu vya hovyo, kitotot nk...na sidhani kama itakuwa sahihi kuilaumu JF kama tatizo. I stand to be challenged
The World's Most Powerful People List - Forbes
 
....KP umetoa maelezo mazuri sana. Inashangaza watu wanaojitambulisha kama Great thinkers wanashindwa kutofautisha Fb na Jamii forums. Mtoa mada analalamika hajakutana na jukwaa la uchumi FB, anachokutana nacho ni salamu za Hi na icha za kingonono ngono; Mosi, kama mtoa mada hana account FB anaingia kufanya nini? hawandio kundi la watu wanaojifanya kuponda FB wakati kila asubuhi wanaingia na kuandika majina ya watu kwenye sehemu ya search na kuanza kuangalia wameweka picha gani na wana post nini? wanaopost FB wanafanya hivyo kwa rafiki zao au contact list yake...wanaopaswa kulalamika ni hao rafiki zake (kama kua uhalali wa kufanya hivyo).

Watu wengi hapa JF wanaponda sana JF kitu ambacho binafsi naona ni udhaifu mkubwa wa kufikiri. kama kuna utot, ujinga, umalaya nk ..ni kielelezo cha jamii yetu; tunapaswa kujadili hilo na sio kuibeza FB kwasababu hakuna anayeweza kubisha nguvu ya FB katika nyanja ya mawasiliano (inajidhihirisha na idadi kubwa ya watumiaji duniani, Uimara wa kibiashara, na msururu wa watu maarufu na muhimu duniani, makampuni nk ambao ni watumiaji wa FB). Tazama link hapo chini upate kujua Mark Zuckerberg (Founder wa facebook, yuko namba ngapi katika orodha ya World Most powerful men). Na pia tusisahau hata humu \JF kila siku kuna watu wanapost vitu vya hovyo, kitotot nk...na sidhani kama itakuwa sahihi kuilaumu JF kama tatizo. I stand to be challenged
The World's Most Powerful People List - Forbes

asante mkuu
 
watumiaji wa facebook, naomba mnisaidie la kujifunza kule facebook, maana mwenzenu kila ninapo log in huwa nakutana na picha na vijisalamu salamu vya hi1, babie, sweethaert na picha za kuvutia na kingono ngono tu hasa kwa mabinti 'wabichi wabichi'.

Huwa natami kukuta labda forum inayoongelea mambo ya 'maana' mf uchumi, elimu nk lakini huwa sioni zaidi ya hivyo vimeseji/post za umependeza, u look glamorous ne mengine.

Pengine ni ushamba wangu, basi naomba mnielekeze kwa kufungua ili nikutane na 'educative or informative issue' za kibongo na nyingine za ughaibuni. Kwa sababu ya 'ushamba' wangu huu huwa nakaa miezi mingi bila ku log in kule.

Tafadhali nisaidieni


Wanaoitumia wanajua wanachojifunza/faidi huko. Kama haikusaidii kitu just leave it for those who benefit from it. Unajua hupati chochote, halafu unaendelea ku-log in kila siku, tafsiri yangu ni kwamba unafurahia kile unachokikuta kule fb
 
Back
Top Bottom