ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
watumiaji wa facebook, naomba mnisaidie la kujifunza kule facebook, maana mwenzenu kila ninapo log in huwa nakutana na picha na vijisalamu salamu vya hi1, babie, sweethaert na picha za kuvutia na kingono ngono tu hasa kwa mabinti 'wabichi wabichi'.
Huwa natami kukuta labda forum inayoongelea mambo ya 'maana' mf uchumi, elimu nk lakini huwa sioni zaidi ya hivyo vimeseji/post za umependeza, u look glamorous ne mengine.
Pengine ni ushamba wangu, basi naomba mnielekeze kwa kufungua ili nikutane na 'educative or informative issue' za kibongo na nyingine za ughaibuni. Kwa sababu ya 'ushamba' wangu huu huwa nakaa miezi mingi bila ku log in kule.
Tafadhali nisaidieni
Huwa natami kukuta labda forum inayoongelea mambo ya 'maana' mf uchumi, elimu nk lakini huwa sioni zaidi ya hivyo vimeseji/post za umependeza, u look glamorous ne mengine.
Pengine ni ushamba wangu, basi naomba mnielekeze kwa kufungua ili nikutane na 'educative or informative issue' za kibongo na nyingine za ughaibuni. Kwa sababu ya 'ushamba' wangu huu huwa nakaa miezi mingi bila ku log in kule.
Tafadhali nisaidieni