Facebook kufungwa Machi 15, 2011?

The set-up of facebook iself made it vulnerable to misuse. Mlitegemea nini kama kila mtu atakuwa huru ku-expose any private information! na kila mtu kuweza ku-access hiyo information? Wengi waliounganishwa na facebook hawakuwa marafiki wa kweli kwa sababu facebook iliruhusu na kushawishi kama rafiki yako kajiunga na rafiki mwingine na wewe unashawishiwa kujiunga na rafiki yake (whom you may not know anyway!).
Kuhusu watoto kukaa sana kwenye computers kwa ajili ya facebook, kuifunga itasaidia kidogo sana maana kuna site nyingi za kipuuzi ambazo vijana wataziangalia. Dawa ya kwanza ni kuwafamisha vijana kuwa mtandao ni zaidi ya hayo - waonyeshe sites za masomo, mijadara ya kimaendeleo na hata ya kisiasa nk. Kwa mfano JF ina kila forum nzuri -international, political, economic, science and technology, education, legal matters nk na mods wako makini kufunga thread yoyote inayoonekana kwenda kinyume cha maadili - vijana tuwaelekeze huko/humu.
 
Jamani nimesikia kuna tetesi kuwa facebook itafungwa mwezi wa tatu..



PALO ALTO, CA –

Mark Zuckerberg announced that Facebook will be shut down in March. Managing the site has become too stressful.

"Facebook has gotten out of control," said Zuckerberg in a press conference outside his Palo Alto office, "and the stress of managing this company has ruined my life. I need to put an end to all the madness."

Zuckerberg went on to explain that starting March 15th, users will no longer be able to access their Facebook accounts.

"After March 15th the whole website shuts down," said Avrat Humarthi, Vice President of Technical Affairs at Facebook. "So if you ever want to see your pictures again, I recommend you take them off the internet. You won't be able to get them back once Facebook goes out of business."

Zuckerberg said that the decision to shut down Face book was difficult, but that he does not think people will be upset.

"I personally don't think it's a big deal," he said in a private phone interview. "And to be honest, I think it's for the better. Without Facebook, people will have to go outside and make real friends. That's always a good thing."

Some Facebook users were furious upon hearing the shocking news.

"What am I going to do without Face book Face book?" said Denise Bradshaw, a high school student from Indiana. "My life revolves around it. I'm on Face book at least 10 hours a day. Now what am I going to do with all that free time?"

However, parents across the country have been experiencing a long anticipated sense of relief.

"I'm glad the Facebook nightmare is over," said Jon Guttari, a single parent from Detroit. "Now my teenager's face won't be glued to a computer screen all day. Maybe I can even have a conversation with her."

Those in the financial circuit are criticizing Zuckerberg for walking away from a multibillion dollar franchise. Facebook is currently ranked as one of the wealthiest businesses in the world, with economists estimating its value at around 7.9 billion.

But Zuckerberg remains unruffled by these accusations. He says he will stand by his decision to give Facebook the axe.

"I don't care about the money," said Zuckerberg. "I just want my old life back."

The Facebook Corporation suggests that users remove all of their personal information from the website before March 15th. After that date, all photos, notes, links, and videos will be permanently erased.


Bujibuji hii habari sio ya kweli. Japo hata mimi ningefurahi jamaa angelifunga hilo li-surakitabu. Habari hii inavumishwa na jamaa fulani wa mtandao wa Weekly World News | The World's Only Reliable News!. Hawa jamaa ni waongo sana wamezua kuwa Michelle Obama ni mjamzito.

Fuata hii link utaona story zao za uongo
FACEBOOK WILL END ON MARCH 15th! | Weekly World News
 
Hii ni hatari.
Mijitu inakurupuka kutoka kusikojulikana na kuanza kusambaza mijineno yao ya uongo.
 
rumors going around that facebook inafungwa,.nimependa ili waje jf kudiscuss nchi yao inavyoporwa badala ya ngono sababu majority wapo facebook kupata madem na men
 
jf hakuna wachumba hata ikifungwa zipo nyingine za kapata wachumba kama h5, tagged, etc huku hapawafai
 
rumors going around that facebook inafungwa,.nimependa ili waje jf kudiscuss nchi yao inavyoporwa badala ya ngono sababu majority wapo facebook kupata madem na men

Acha ujinga ww, wewe ndio unafikiria hivyo ila sio kweli kuwa wako kwa ajili ya mapenzi zaidi. Na watu kwenye face book ukiweka mada wanaweza changia kwa busara zaidi kuzidi humu JF. Na kwa taarifa yako facebook haifungwi hizo ni rumors tu
 
Acha ujinga ww, wewe ndio unafikiria hivyo ila sio kweli kuwa wako kwa ajili ya mapenzi zaidi. Na watu kwenye face book ukiweka mada wanaweza changia kwa busara zaidi kuzidi humu JF. Na kwa taarifa yako facebook haifungwi hizo ni rumors tu


Acha matusi! Mods fanyakazi yako kwanza hachangii JF
 
Sijawahi kusikia kauli ya maana kutoka kwa JK tangu awe Rais, lakini hii ya mbayuwayu nimeikubali ni kauli ya kuifanyia kazi, sasa na mimi nakwambia uwe kama mbayuwayu, ukisikia au ukiambiwa kitu changanya na akili zako. ni mwehu gani dunia hii anaweza kufunga biashara inayomwingizia mamilioni ya dolar kila mwaka? pls behave like realy Great Thinker.
 
Back
Top Bottom