Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Sasa mkuu kimekuliza nini wakati wote wapo hai kama ungekuta wamefariki sijui ungefanyaje..nalog Out
we hujui kilio cha furaha?
Sasa mkuu kimekuliza nini wakati wote wapo hai kama ungekuta wamefariki sijui ungefanyaje..nalog Out
Unalia nini?
hajawahi kukutana nacho.Nalog offwe hujui kilio cha furaha?
Huishi vioja,bora wewe imekuliza kilio cha furaha mwenzako nimesaga meno kwa huzuni hyo fb hata hamu sina
Aise imetusaidia sana sie tuliopoteana kwa muda mrefu. Nalog offThrough facebook niliweza kuwapata ndugu zangu wawili ambao tulikua tumepoteana kwa miaka mingi sana toka tukiwa wadogo na sasa wote ni watu wazima. Nilifurahi sana sana sitasahau. Ina uzuri wake facebook
Nenda haraka ndugu ukawatafute nduguzo/rafikizo. Nalog offngoja na mie niende aisee
Situmii mimi hiyo fesibuku.